WANAWAKE WENGI WANAJIUZA BILA KUJITANGAZA...JE WW UNAJIUZA...JIULIZE MASWALI HAYA.
- Umeshawahi kuwinda boyfrnd mwenye pesa?(Kama jibu ni ndiyo 10marks).
- Umeshawahi kuwahi kununa eti kisa jamaa hajiongezi? (If YES 5 MARKS)
- Ushawahi kutembea na mtu mzima kisa anahela? (If yes 5marks)
- Ulishawahi kumtema kidume kisa tu hana msaada kwako kifedha?(if YES 10marks).
- Ushawahi kumchuna mwanaume kisa unampa hapo miguu yako inapokutania? (If YES 20marks)
- Ushawahi kumpa kidume majukumu ya mzazi wako? Mfano baby nimekula ada naomba nsaidie/baby sjui nguo gani ninunulie..(if YES 10 marks).
- Ushawahi kwenda kwa mwanaume anapokuita mkadinyane ukiwa na matarajio ya kupewa nauli na vijisenti?(if YES 10Marks)
- Je ushawahi tegemea ela ya kidume wakati ww unakazi pia...kisa tu unampya kamtonyo kako??(if YES 5marks)
- Ushawahi kata mauno kwa bed kwa matarajio ya kumdatisha ili ukisema nataka vitz alete mark X? Au awe anahudumia sana? (if YES 10 Marks).
- Ushawahi kujisifu kwa wenzako kuwa hutaki kuhangaika na vijombaa vya chuo/kitaa visivyo na mkwanjaa??(if YES 10marks)
- Je, baada ya kusoma maswali yote hapo juu umekereka?? (If YES 5marks)
JIULIZE MOYONI EWE DADA KISHA JISAHIHISHIE MOYONI...KISHA SASA UKIONA UMEPATA HIVIII....JUA HIVIII.
- 30-49 marks.....WEWE NI RETAILER.
- 50-69---WEWE NI WHOLESALER.
- 70-100---WEWE NI MANUFACTURER NA DISTRIBUTOR.
Umepanga kwa uzuri kabisa, kweli ww umesoma "entrepreneurship"