Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Mtasema sana lakini ndio tunaongeza kasi. Na kama wengi wanajiuza basi ni wengi pia wananunua. Sasa wauzaji wanaonekana wabaya bila wanunuaji

Angalia kuna kona nyingi break zisije zikafeli.
 
Kama Rinaldo anatumia miguu kuburudisha wa tu na analipwa, si nae anauza mwili?
 
Kama Rinaldo anatumia miguu kuburudisha wa tu na analipwa, si nae anauza mwili?

Eenhe kabisa, anatumia raslimali alizonazo kujipatia kipato.
 
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!

So wholeseller sio?
 
Mkuu kama huwezi kukomenti ni bora ukapita tu kama mimi,

kuandika "sawa" ina maana yakwamba umekubaliana naye huwanga unajiunza wakati wewe ni me.

sawa, endelea bwana mdogo....
 
Back
Top Bottom