TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
tumboo twingi twingi. Dah Jf bana......
Hii ndio jf mkuu
tumboo twingi twingi. Dah Jf bana......
mkicopy vitu muwe mnasema source.lol
Hahahaaaa nikiingiaga jf lazima nicheke hata kama nlikua nmechukia
watu wanahangaika na kutafuta kila aina ya justification, ila ukweli utabaki palepale 'money is allmost everything', wasokuwa nazo sasa wanahaha hatari.
Hahahaaaa mkuuu
Naam... Kwa vile neno langu ni taa ya miguu ujue..! Hujambo lakini??
wanatoa tu na walaa hawawazi maana zipo, wale za mawazo sasa nfio balaa maana akitoa kilo anaumwa vidonda vya tumbo maisha, mwanamke gharama ati!!! ndio kula kwa jasho huko, hutaki unaruhusiwa kujicameroon lol!!
Halafu nyie ndo wale "maneno meeeeengi, vitendo sasa, zero" Si ajabu ukikutana na mwanamume hata kumtazama usoni huwezi.
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!
Halafu nyie ndo wale "maneno meeeeengi, vitendo sasa, zero" Si ajabu ukikutana na mwanamume hata kumtazama usoni huwezi.
Ila ukiwa na pesa huwazi kuchunwa. Unazitoa tu kwa ufahari, tena unazitoa bila kukumbuka na unasahau, unamuacha mwanamke ndiyo anaangaika. Ila kama huna pesa, kila mwanamke atakachokufanyia utawaza mengi mara anauza/ananiuzia mambo kibao. Hata ukiombwa hindi tu utawaza mengi sana.
Sawa,..
Nipe takwimu za wanaume wa kitz ambao kweli pesa zao sio za kuwazia...! Kwa vipato hivi hivi...mmmh! Labda kama watoka JR azawaiz..!