Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,163
Reaction score
5,766
Wanawake wengi wanajiuza bila kujitangaza je wewe unajiuza. Jiulize haya maswali.

  1. Umeshawahi kuwinda boyfrnd mwenye pesa?(Kama jibu ni ndiyo 10marks).
  2. Umeshawahi kuwahi kununa eti kisa jamaa hajiongezi? (If YES 5 MARKS)
  3. Ushawahi kutembea na mtu mzima kisa anahela? (If yes 5marks)
  4. Ulishawahi kumtema kidume kisa tu hana msaada kwako kifedha?(if YES 10marks).
  5. Ushawahi kumchuna mwanaume kisa unampa hapo miguu yako inapokutania? (If YES 20marks)
  6. Ushawahi kumpa kidume majukumu ya mzazi wako? Mfano baby nimekula ada naomba nsaidie/baby sjui nguo gani ninunulie..(if YES 10 marks).
  7. Ushawahi kwenda kwa mwanaume anapokuita mkadinyane ukiwa na matarajio ya kupewa nauli na vijisenti?(if YES 10Marks)
  8. Je ushawahi tegemea ela ya kidume wakati ww unakazi pia...kisa tu unampya kamtonyo kako??(if YES 5marks)
  9. Ushawahi kata mauno kwa bed kwa matarajio ya kumdatisha ili ukisema nataka vitz alete mark X? Au awe anahudumia sana? (if YES 10 Marks).
  10. Ushawahi kujisifu kwa wenzako kuwa hutaki kuhangaika na vijombaa vya chuo/kitaa visivyo na mkwanjaa??(if YES 10marks)
  11. Je, baada ya kusoma maswali yote hapo juu umekereka?? (If YES 5marks)

Jiulize moyoni wewe dada kisha jisahihishe moyoni kisha ukiona umepata hivi jua hivi


  • 30-49 marks wewe ni retailer
  • 50-69 Wewe ni Wholesaler
  • 70-100 Wewe ni manufacturer na distributer
 
JIULIZE MOYONI EWE DADA KISHA JISAHIHISHIE MOYONI...KISHA SASA UKIONA UMEPATA HIVIII....JUA HIVIII.


  • 30-49 marks.....WEWE NI RETAILER.
  • 50-69---WEWE NI WHOLESALER.
  • 70-100---WEWE NI MANUFACTURER NA DISTRIBUTOR.

0 - 29 marks....WEWE ni NORMAL kabisaaa!
 
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!
 
hahahhahahhhahh like like
le manufacturer wapo
wengi sanaaaaa lol
mjini humu survival is for the fittest..
habar za kukaa unambwela bwela za nini wakati ukideka tu unatunzwa...
 
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!

Kwa hiyo wewe una maksi zaidi ya 100?
 
hahahhahahhhahh like like
le manufacturer wapo
wengi sanaaaaa lol
mjini humu survival is for the fittest..
habar za kukaa unambwela bwela za nini wakati ukideka tu unatunzwa...

Na wahitaji wa bidhaa wapo wengi
 
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!

imechoma kunako hiyo
 
Back
Top Bottom