tibwilitibwili
Senior Member
- Sep 12, 2006
- 184
- 10
Ukienda Somalia leo ukawakuta wale wenye shida kubwa ama darfur uka offer msaada wa masharti nafuu naamini wengi watakuja .Hawa wanao rudi CCM si wapinzani ni wenye njaa na walienda kwa kutumwa sasa wanarudi kwao waliko toka ila kwa kuwa wanakati wanaenda hawakusema walikuwa CCM sasa wanarudi wanaitwa Wapinzani ili CCM na Makamba wapate la kusema .Unasemaje ?