Je, walijua jiji la Tanga?

Je, walijua jiji la Tanga?

Tanga kuna barabara zilizojipanga vyema kabisa 21..

Tanga ndio jiji pekee ukiwa city center ukachepuka mita 20 tu unakutana na vijumba vilivyo choka hatari/vya udongo

Tanga ndo jiji pekee Tanzania lenye watu wavivu ila ni mafundi wa kuongea..

Tanga ndo jiji pekee ambalo mpk leo usafiri wa baiskeli unapewa nafasi kubwa..

Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kula chakula ambacho hujawahi kula popote duniani.(unazijua chapati za ngozi 7 na maharage ya kukata?)

Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kupata huduma motomoto za mapenzi na ukasahau kabisa kurudi kwenu...

Wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kuendesha pikipiki kwa uhodari duniani..

Wanawake wa Tanga wanaongoza kwa kuvaa baibui na hijabu Tanzania bara,wakarimu na wasikivu na wepesi kutoa huduma zote utakazo bila manung'uniko.

Tanga ndo jiji pekee lililopewa hadhi ya jiji lakini halikidhi vigezo..

Tanga ndo jiji pekee ambalo halina vibaka,jiji tulivu lisilo na foleni.

Vingine nisaidieni.....!!
Kwa taarifa yako tanga ni mji mkongwe kuliko miji mingi nchini kwani baada ya dar ilifuata tanga.
na ukiangalia vizuri hakuna mji uliopangika vizuri kama tanga
 
hahaha mkuu we noma huonjeshwi story?anyway hapa ndo ulaya ya bongo hebu shukia hapo kwa minchi chukua boda akupeleke macarios hotel ukapewe pole ya safari then jion leo usihangaike saana nenda pale halton usipopapenda ncheki nikuelekeze mdau,karibu lavidav city.
[emoji2] [emoji2] Mkuu asante sana huwa nakuja kuja kwenye mishe ila mwenyeji sina nakumbuka last yr nilikuwa hapo nikaulizia sana ile mizigo nikapelekwa Majestic sema zile kazi siku zielewa this time nataka shombe zile Mzee zipo kweli niliambiwa barabara ya 8 kuna zizi ila aliyeniambia naye kaambiwa nikachoka
 
mnapoteza muda tuu huo upuuzi tanga hamna mtaambulia kupigwa mazongo tu...
 
Dah nimemiss tanga kwetu, huwa nikifika nafikia pale naivera kihotel kiko poa sana, viwanja navyopenda raskazone, Tanga beach resort, mitaa ya jioni ukienda watoto mashombeshombe wamejaa, Ila tanga raha asikwambie mtu, sijaona Tz sehemu tamu zaidi tanga, Pale roho inatulia, hakuna roba za mbao wala vibaka,
 
Tanga Tanga Tanga,

Kwa mara ya kwanza nililipia baiskeli kama usafiri - Tanga
Kwa mara ya kwanza nilikula Biriani - Tanga
Kwa mara ya kwanza nilihang out na totoz shombeshombe ya kiarabu - Tanga
Kwa mara ya kwanza nilikula totoz yenye asili ya kisomali - Tanga
Kwa mara ya kwanza nilipewa kutumia mtandao ambao sikuwahi kuufikiria (tena kwa kuchimbwa biti nashangaa nini...na ole wangu niseme) - Tanga
....na ushukuru hukuwekewa tego.
Kule sie mababu zetu wameshatusindika.
 
Mzee kuna sehemu hiyo inakua kwa kasi ya 4G ni kamji kapya kanaitwa magomeni aisee ni balaa,juzi nimepanda haice kwenda huko nna kabanda kangu nimeenda kukacheki kilichonikuta ndani ya haice kilisababisha safari ilikufa,ilikua hivi(true story)nikiwa ndani ya gari siti ya nyuma kabisa kuna mrembo alpandia pale road 17 akaja tukakaa wote tulipofika comercial tukabaki 2 kule nyuma wawili walishuka,yule binti akaniuliza kaka mbona unachezesha sana miguu?nikamwambia ni kawaida yangu tu huwa napenda tu,akaniambia no sema tu ukweli,niamwambia mbona mi nshazoea,kakaniambia kama sisemi ukweli basi nitulie tulii,nikatulia nikashangaa mkono unapenyezwa taratibu mpaka kiunoni aisee niliganda kama nimepigwa shot,kuona vile kakaniuliza mbona umezubaa?nikaona hii ishakua tabu palepale nikakaambia tushuke nikaona katikisa kichwa kwa ishara ya kukubali,palepale nikamwambia konda shusha hapohapo sikumbuki ilikua kituo gani,nikachukua boda fasta,usiniulize tulienda kufanya nini.
Ndiomana hamuendelei.
 
lushoto ndio wilaya pekee tanzania inayopatikana mkatika mkoa huu mtukufu wa tanga ukifika lushoto utakaribishwa na mandhari kama ya mbele na hali ya hewa mujarabu kabisa....ni lushoto hii pekee ambayo inafikiaga wakat idadi ya wageni kutoka ughaibuni ni nusu kwa nusu na wasambaa wenyej.....ni eilaya hii pekee nchini ambapo kuna utitiri wa hoteli za nyota tano na mandhari ya kitalii karibuni lushoto
Kwahiyo Lushoto eilaya hii pekee nchini ambapo kuna utitiri wa hoteli za nyota tano na mandhari ya kitalii ??
 
Tanga ndio jiji pekee ambalo unaweza kuoa mke bikra japo umemkuta ana mabwana zaidi ya mia,
Bikra ya mbele utaikuta ila sio ya nyuma[emoji12]


HiHiHi Tangaaaaaaaaa. Ngoja tuzifuate - kumbe huko bado ziko!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom