Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Dah..huko ...nilikula chips yai nikaletewa bill ya elfu 18[emoji14]Raskazone,kwa minchi...dooh I miss Tanga
Dah..huko ...nilikula chips yai nikaletewa bill ya elfu 18[emoji14]Raskazone,kwa minchi...dooh I miss Tanga
Hebu weka vigezo vya nchi, inatakiwa nini ili iwe nchi, mbona unatia shaka, kama huko uliko hukonda kwa nauli yako.RRONDO RRONDO,my brother open up your eyes,remove those blinkers.hivi Tanzania wewe unaona ni nchi? Hebu safiri kwanza
Tanga ndio mkoa pekee ambao kila ukoo haukosi mganga wa kienyeji na mwanamke aliyepewa talaka
Tanga ndio jiji pekee ambalo unaweza kuoa mke bikra japo umemkuta ana mabwana zaidi ya mia,Tanga kuna barabara zilizojipanga vyema kabisa 21..
Tanga ndio jiji pekee ukiwa city center ukachepuka mita 20 tu unakutana na vijumba vilivyo choka hatari/vya udongo
Tanga ndo jiji pekee Tanzania lenye watu wavivu ila ni mafundi wa kuongea..
Tanga ndo jiji pekee ambalo mpk leo usafiri wa baiskeli unapewa nafasi kubwa..
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kula chakula ambacho hujawahi kula popote duniani.(unazijua chapati za ngozi 7 na maharage ya kukata?)
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kupata huduma motomoto za mapenzi na ukasahau kabisa kurudi kwenu...
Wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kuendesha pikipiki kwa uhodari duniani..
Wanawake wa Tanga wanaongoza kwa kuvaa baibui na hijabu Tanzania bara,wakarimu na wasikivu na wepesi kutoa huduma zote utakazo bila manung'uniko.
Tanga ndo jiji pekee lililopewa hadhi ya jiji lakini halikidhi vigezo..
Tanga ndo jiji pekee ambalo halina vibaka,jiji tulivu lisilo na foleni.
Vingine nisaidieni.....!!
Na ukaitwa Baby wakati unakula pension??Ndo sehemu pekee niliogeshwa na uzee wangu
Ni kweli viwanda vilikuwepo enzi hizo. Mmeviua kwa anasa zenu. Hata mkoloni aliimba.We ni miongoni mwa wanaofikiri kwa 1%, kwa taarifa yako tanga ndio mkoa uliokua mkubwa kuliko wowote ule kuwahi kutokea tanzania,ulishawahi kujiuliza tanga kuna viwanda vingapi?Tanga ni zaidi ya unavyoijua wewe,umeenda mabokweni ukadhani hiyo ndo mandhari pekee ya Tanga,nikuambie tu siri Tanga imeuliwa na ccm kupitia kina nyrere na mkap hawa ndio maadui wakubwa waliofukuza wawekezaji na kuangamiza viwanda vyetu,acha ulimbukeni next time usiropoke uulize.TANGA RAHA ipo siku itarudi kama zamani.
Yaani seriously unasifia chakula cha jirani wakati utarudi kwenu kula ugali WA chumvi. Haya twakusubiriNjoo south supermarket ndio utaona majiji.sio Tanzania maana hawajui hata maana ya neno jiji
Fanya ufike, Tanga patamu sanakama kuna jiji ambalo sijawahi kufika na ninatamani sana siku moja nifike basi ni tanga . . . wataiponda weeee ila nasikia mandhari yake ya kipwani pwani kama ilivyo zenji na bagamoyo
Tanga kila kitu. Nalipenda sana jiji hili, fanya ufike hutajutia kufika kwako.kama kuna jiji ambalo sijawahi kufika na ninatamani sana siku moja nifike basi ni tanga . . . wataiponda weeee ila nasikia mandhari yake ya kipwani pwani kama ilivyo zenji na bagamoyo
Sante nasma, kuna mijitu chuki tu zitawamalizaunataka kufananisha moshi na tanga?hiyo moshi yako hata kahama haifikii ndo itakua tanga?unajua vigezo vya sehemu kupewa hadhi ya kua jiji?rudi shule elimu inatolewa bure siku hizi.
Umezamia kwenye nchi za watu unaanza kuponda kwenu, haya msouth beach boyTanzania yote hakuna jiji hata moja.yote ni uchwara tu,ukitaka kuona jiji nenda Johannesburg
Tanzania hii ni moja kati ya miji michache sana iliyopangika vizuri, tatizo ni maendeleo yao yapo taratibu sana.Tanga kuna barabara zilizojipanga vyema kabisa 21..
Tanga ndio jiji pekee ukiwa city center ukachepuka mita 20 tu unakutana na vijumba vilivyo choka hatari/vya udongo
Tanga ndo jiji pekee Tanzania lenye watu wavivu ila ni mafundi wa kuongea..
Tanga ndo jiji pekee ambalo mpk leo usafiri wa baiskeli unapewa nafasi kubwa..
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kula chakula ambacho hujawahi kula popote duniani.(unazijua chapati za ngozi 7 na maharage ya kukata?)
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kupata huduma motomoto za mapenzi na ukasahau kabisa kurudi kwenu...
Wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kuendesha pikipiki kwa uhodari duniani..
Wanawake wa Tanga wanaongoza kwa kuvaa baibui na hijabu Tanzania bara,wakarimu na wasikivu na wepesi kutoa huduma zote utakazo bila manung'uniko.
Tanga ndo jiji pekee lililopewa hadhi ya jiji lakini halikidhi vigezo..
Tanga ndo jiji pekee ambalo halina vibaka,jiji tulivu lisilo na foleni.
Vingine nisaidieni.....!!
Makorora sokoniKama unatokea maeneo ya kwanjeka ,makorora, au donge hebu sema hapa tufahamiane, mi natokea kwanjeka kwa kina dj tino jiran na mahewa na kiruasha