Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
Kwa namna ulivyo mweupe sipotezi nguvu zangu kukupa elimukwa kifupi nyie watu wa tanga ni wavivu sana, hamfanyikazi tangu enzi za mkolon walikuwa wanatafutwa wafanyakazi wa mashambani toka kigoma, tabora na mikoa ya kusini. sasa mtaendeleaje kwa stail ya kukaa vijiweni kucheza bao mchana kutwa? mm nimekaa tanga miaka 5 hunidanganyi kitu kuhusu tanga, ni wavivu mnooo, biashara zote kubwa mmewaachia waarabu na q