Je, walijua jiji la Tanga?

Je, walijua jiji la Tanga?

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,493
Reaction score
12,461
Tanga kuna barabara zilizojipanga vyema kabisa 21..

Tanga ndio jiji pekee ukiwa city center ukachepuka mita 20 tu unakutana na vijumba vilivyo choka hatari/vya udongo

Tanga ndo jiji pekee Tanzania lenye watu wavivu ila ni mafundi wa kuongea..

Tanga ndo jiji pekee lenye watu mafundi wa kuongea kiswahili kitamu kilicho nyooka (sio km wale wenzetu wa kule anakotoka baba nanihii). walah ukipata mdada wa kitanga halafu akiwa anaongea kiswahili utatamani usiondoke jinsi anavyo sound gudi.

Tanga ndo jiji pekee ambalo mpk leo usafiri wa baiskeli unapewa nafasi kubwa..

Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kula chakula ambacho hujawahi kula popote duniani.(unazijua chapati za ngozi 7 na maharage ya kukata?)

Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kupata huduma motomoto za mapenzi na ukasahau kabisa kurudi kwenu...

Wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kuendesha pikipiki kwa uhodari duniani..

Wanawake wa Tanga wanaongoza kwa kuvaa baibui na hijabu Tanzania bara,wakarimu na wasikivu na wepesi kutoa huduma zote utakazo bila manung'uniko.

Tanga ndo jiji pekee lililopewa hadhi ya jiji lakini halikidhi vigezo..

Tanga ndo jiji pekee ambalo halina vibaka,jiji tulivu lisilo na foleni.

TANGA RAHA......!!

Vingine nisaidieni.....!!
 
We ni miongoni mwa wanaofikiri kwa 1%, kwa taarifa yako tanga ndio mkoa uliokua mkubwa kuliko wowote ule kuwahi kutokea tanzania,ulishawahi kujiuliza tanga kuna viwanda vingapi?Tanga ni zaidi ya unavyoijua wewe,umeenda mabokweni ukadhani hiyo ndo mandhari pekee ya Tanga,nikuambie tu siri Tanga imeuliwa na ccm kupitia kina nyrere na mkap hawa ndio maadui wakubwa waliofukuza wawekezaji na kuangamiza viwanda vyetu,acha ulimbukeni next time usiropoke uulize.TANGA RAHA ipo siku itarudi kama zamani.
 
Njoo south supermarket ndio utaona majiji.sio Tanzania maana hawajui hata maana ya neno jiji
Tanzania yote hakuna jiji hata moja.yote ni uchwara tu,ukitaka kuona jiji nenda Johannesburg
Kuna kipofu mmoja alibahatika kuona kwa sekunde chache, akaona punda tu. Basi kila akisikia mtu anasema/anasifia kitu yeye anauliza tu 'kizuri/mzuri kama punda?'
 
Back
Top Bottom