Je, walijua jiji la Tanga?

Je, walijua jiji la Tanga?

Sio nuksi ndio hali halisi nimekaa karibu miaka miaka nane tanga kwa hio uniambii kitu juu Tanga
Wanatisha sana vp ukichepuka huko watakuloga hadi unakuwa (fx)less
 
Wala hawana mda wa kuroga, mana ata wao wachepukaji wazuri sana...
Wanawaroga wanaume ili wawapende tu, yani kila ukiambiwa uitike
Duuu mkuu kumbe wao wanatarget yao lkn c wana angalia wanaume wenye mkwanja sasa kama mimi lofa akikuloga c atapata hasara
 
Toka nihamishwe kikazi toka jiji la TA kuja huku mikoani sasa najionea shida tu.
Nakumbuka mwenyewe jioni najilia pweza wangu na supu yake,baadae naenda pata chakula pale stendi kuu ya zamani.
Alafu ile stendi mpya ya Kange iko bomba na standard serikali ingejenga stendi kama zile katika mikoa mengine.
Wapi Chuda nilikula ugali mtam sana pale MACARIOUS HOTEL chuda. Ntarudi T.A
 
unataka kufananisha moshi na tanga?hiyo moshi yako hata kahama haifikii ndo itakua tanga?unajua vigezo vya sehemu kupewa hadhi ya kua jiji?rudi shule elimu inatolewa bure siku hizi.
Tanga zilipendwa wewe, acha kutoka povu!
 
hujaitendea haki Tanga nitajie mita 20 ulizitembea kutoka town ukakutana na nyumba za udongo za kuchoka na je ni ipi sifa ya jiji kuitwa jiji??
kuwa na nyumba za udongo si umaskini kuna majengo mengi nimeyaona tena mengi tangu enzi ya mkoloni bado yapo mi naona ni sehemu ya utaliii na kuhifadhi asili ya watu
 
Duuu mkuu kumbe wao wanatarget yao lkn c wana angalia wanaume wenye mkwanja sasa kama mimi lofa akikuloga c atapata hasara
Lofa unatazamwa tu, sanasana utafautiwa mwenzako wa kuhudumia
 
Kwa nyumba za udongo juu nyasi bado zipo nyingi tu , ikawa kwa nje wamepiga plasta
Hio sio ajabu karibu kila mkoa nyumba hzo zipo
 
Mzee kuna sehemu hiyo inakua kwa kasi ya 4G ni kamji kapya kanaitwa magomeni aisee ni balaa,juzi nimepanda haice kwenda huko nna kabanda kangu nimeenda kukacheki kilichonikuta ndani ya haice kilisababisha safari ilikufa,ilikua hivi(true story)nikiwa ndani ya gari siti ya nyuma kabisa kuna mrembo alpandia pale road 17 akaja tukakaa wote tulipofika comercial tukabaki 2 kule nyuma wawili walishuka,yule binti akaniuliza kaka mbona unachezesha sana miguu?nikamwambia ni kawaida yangu tu huwa napenda tu,akaniambia no sema tu ukweli,niamwambia mbona mi nshazoea,kakaniambia kama sisemi ukweli basi nitulie tulii,nikatulia nikashangaa mkono unapenyezwa taratibu mpaka kiunoni aisee niliganda kama nimepigwa shot,kuona vile kakaniuliza mbona umezubaa?nikaona hii ishakua tabu palepale nikakaambia tushuke nikaona katikisa kichwa kwa ishara ya kukubali,palepale nikamwambia konda shusha hapohapo sikumbuki ilikua kituo gani,nikachukua boda fasta,usiniulize tulienda kufanya nini.
mkuu ulilala na jini hahahaa
 
We ni miongoni mwa wanaofikiri kwa 1%, kwa taarifa yako tanga ndio mkoa uliokua mkubwa kuliko wowote ule kuwahi kutokea tanzania,ulishawahi kujiuliza tanga kuna viwanda vingapi?Tanga ni zaidi ya unavyoijua wewe,umeenda mabokweni ukadhani hiyo ndo mandhari pekee ya Tanga,nikuambie tu siri Tanga imeuliwa na ccm kupitia kina nyrere na mkap hawa ndio maadui wakubwa waliofukuza wawekezaji na kuangamiza viwanda vyetu,acha ulimbukeni next time usiropoke uulize.TANGA RAHA ipo siku itarudi kama zamani.

daaa kaka unauchungu na tanga kishezi. hajui kuwa tanga school ndio shule ya kwanza tz, na baada ya hapo ukapewa kisogo kabisaaaaa, uzuri wa tanga watu wake hawapendi kupiga kelele za njaa kama huko wanakokula viwavi jeshi, tanga hakuna sehemu kuna mahindi ya dharura eti kuna njaa. tanga watu hawakatani mapanga na kupigana mikuki ndio maana serikali ikaona haina haja yakuisaidia. wameitenga tanga, sasa watangatanga na kuinanga nanga, huku si kama kule hakuna majanga
 
Kwa nyumba za udongo juu nyasi bado zipo nyingi tu , ikawa kwa nje wamepiga plasta
Hio sio ajabu karibu kila mkoa nyumba hzo zipo
Pangani pale kuna Nyumba ipo full ni majani yaani ukuta mpaka juu ni majani, lakini ina UMEME
 
We ni miongoni mwa wanaofikiri kwa 1%, kwa taarifa yako tanga ndio mkoa uliokua mkubwa kuliko wowote ule kuwahi kutokea tanzania,ulishawahi kujiuliza tanga kuna viwanda vingapi?Tanga ni zaidi ya unavyoijua wewe,umeenda mabokweni ukadhani hiyo ndo mandhari pekee ya Tanga,nikuambie tu siri Tanga imeuliwa na ccm kupitia kina nyrere na mkap hawa ndio maadui wakubwa waliofukuza wawekezaji na kuangamiza viwanda vyetu,acha ulimbukeni next time usiropoke uulize.TANGA RAHA ipo siku itarudi kama zamani.
Nilitaka kutoa matusi makubwa sana kwa huyu MMACHINGA wa Mtwara afadhali umepunguza asira zangu...
Ni kweli Tanga iliuliwa na sera mbovu za kibinafsi baada ya kuona maendeleo yakishika kasi Mkoani Tanga Viwanda vikizaliwa km Uyoga na Wawekezaji wakiongezeka na kupendezewa na Jiografia ya Tanga. Mkuu wa nchi akaona watu wa Tanga wanaweza wakajitangazia DOLA yao ikabidi azuie uwekezaji na kuua Viwanda.
 
Stendi ya Kange pale ukilipia Mia Mbili kwa ajili ya kuingia chooni kujisaidia haja ndogo unapewa risiti, Nilitembelea mwezi uliopita kuna manzi nilienda kuonana nae
 
Mzee kuna sehemu hiyo inakua kwa kasi ya 4G ni kamji kapya kanaitwa magomeni aisee ni balaa,juzi nimepanda haice kwenda huko nna kabanda kangu nimeenda kukacheki kilichonikuta ndani ya haice kilisababisha safari ilikufa,ilikua hivi(true story)nikiwa ndani ya gari siti ya nyuma kabisa kuna mrembo alpandia pale road 17 akaja tukakaa wote tulipofika comercial tukabaki 2 kule nyuma wawili walishuka,yule binti akaniuliza kaka mbona unachezesha sana miguu?nikamwambia ni kawaida yangu tu huwa napenda tu,akaniambia no sema tu ukweli,niamwambia mbona mi nshazoea,kakaniambia kama sisemi ukweli basi nitulie tulii,nikatulia nikashangaa mkono unapenyezwa taratibu mpaka kiunoni aisee niliganda kama nimepigwa shot,kuona vile kakaniuliza mbona umezubaa?nikaona hii ishakua tabu palepale nikakaambia tushuke nikaona katikisa kichwa kwa ishara ya kukubali,palepale nikamwambia konda shusha hapohapo sikumbuki ilikua kituo gani,nikachukua boda fasta,usiniulize tulienda kufanya nini.
Aysee,huo ni ukalimu wa hali ya juu Sana,hehehe
 
Ni kweli viwanda vilikuwepo enzi hizo. Mmeviua kwa anasa zenu. Hata mkoloni aliimba.

sio anasa, watu waliozoea raha ni raha tu, sio walizoea kulala na kuku na mbuzi chumba kimoja na ndio madhara yake tunayaona sasa, watu wa pwani hawana roho za kwanini, pesa ikiingia kama kawa matanuzi, viwanja vipo na vikorombwezo kibaoooo, sasa upo dodoma unaenda wapi kula raha, vumbi mtindo mmoja.

viwanda waliviua watu wenye roho mbaya na tanga, sio watanga wenyewe bwana. na bado kama kawa watu wanatanua TANGA RAHA
 
Back
Top Bottom