mwalimu wako wa la tano alikufundisha kua maendeleo ni nini?Ndiomana hamuendelei.
stendi ipi? manake kuna mpya ya kangeTanga ndio sehemu pekee ambapo ukifika stendi kuu kwa mara ya kwanza utashangaa ilivyo
Kama Tz si nchi ni nini, tuelimishe ndugu, ukianza na maana halisi ya nchi.RRONDO RRONDO,my brother open up your eyes,remove those blinkers.hivi Tanzania wewe unaona ni nchi? Hebu safiri kwanza
hakuna namna huu mwaka hauishi bila kwenda huko, ni kuomba uzima tuTwende December mkuu
Inshaallah mkuuhakuna namna huu mwaka hauishi bila kwenda huko, ni kuomba uzima tu
poa mkuuTanga kila kitu. Nalipenda sana jiji hili, fanya ufike hutajutia kufika kwako.
Ya SumbawangaJapan ya Tanga au?
ila nasikia tatizo kule mashoga wengi na wanajiuza kama madada poa. . . . ni kweli?Fanya ufike, Tanga patamu sana
Pale Chichi na lavida club wapo kwa pembenWenyeji totoz zinapatikana wapi aisee?? nataka kufanya utalii wa ndani Tanzania ya viwanda inikute hukohuko
zamani kulikua na club moja yaitwa "pweza" wacha bwana weeee hatari tupu..nasikiaga kuhusu lakasachika. nijuzeni zaidi kuihusu.
kuna stendi mpya ya kange very standard ya ubungo haingii hata robo!Tanga ndio sehemu pekee ambapo ukifika stendi kuu kwa mara ya kwanza utashangaa ilivyo
Ipozamani kulikua na club moja yaitwa "pweza" wacha bwana weeee hatari tupu..
Tuna tour ya kuja huko mkuu,tukijaliwa uzima ntakutafuta kamandanjooni then mtafute mtu wa viwanja sio mambo ya kupelekana chichi,kuna maeneo unahudumiwa utadhani sio nchi hii.
Umenigusa kwenye mtima wange,In shaAllah tukijaliwa uzimaukarimu wetu sisi ni zaid ya ukarimu,mimi kuacha kwenda kazini kwa ajili ya kukupa tafu mwanaume mwenzangu ambae ni mgeni hapa sio shida,tena ukiwa mtu wa totozi ndo unaweza kupakataa hata kwenu.
kweli mkuu, tena Huyo ni limbukeni, kisa eti kaenda kaona magorofa na kupanda treni za umeme anasema hii sio nchi, anafikiri nchi ni magorofa, mwambie amuulize bilgate anatoka marekani anayaacha hayo magorofa anakuja kuinvest bongo ameona nini? atakufa maskini kwa mawazo yake finyu.Aaaah...sasa huu ulimbukeni wa kusafiri ukubwani.....na hii ndo ile 1% ya ubongo inayosemwa ..huwezi kudiriki kusema Tz sio nchi kisa umesafiri na kukutana na vitu ambavyo akili yako haijawahi kuwaza kama vipo... hilo ni tatizo lako na usituaminishe ushamba wako...watu wangapi wanatoka nchi za maana wanakuja kuishi bongo halafu kanyaboya from nowhere aje aseme sio nchi kisa kasafiri kidogo tu... hii ni aibu kwako