Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,132
Duuuh makoroka sokon kwa upande gan zaman ilikua ndio mitaa yangu hapo jiran na kwa mzee shaft kun bibi alikua anaitwa bi punda ndio bibi yanguMakorora sokoni
Duuuh makoroka sokon kwa upande gan zaman ilikua ndio mitaa yangu hapo jiran na kwa mzee shaft kun bibi alikua anaitwa bi punda ndio bibi yanguMakorora sokoni
Kama unaenda kombezi shule,nyumba ya pili kulia ukitokea polisiDuuuh makoroka sokon kwa upande gan zaman ilikua ndio mitaa yangu hapo jiran na kwa mzee shaft kun bibi alikua anaitwa bi punda ndio bibi yangu
Duuuh c karib na kwa mzee kamba au opposite na kile kijisheli uchwara au ni upanda wa nyuma mtaa wa majuto wa zaman/ mtaa wa mzee mjepu?Kama unaenda kombezi shule,nyumba ya pili kulia ukitokea polisi
Aaaah...sasa huu ulimbukeni wa kusafiri ukubwani.....na hii ndo ile 1% ya ubongo inayosemwa ..huwezi kudiriki kusema Tz sio nchi kisa umesafiri na kukutana na vitu ambavyo akili yako haijawahi kuwaza kama vipo... hilo ni tatizo lako na usituaminishe ushamba wako...watu wangapi wanatoka nchi za maana wanakuja kuishi bongo halafu kanyaboya from nowhere aje aseme sio nchi kisa kasafiri kidogo tu... hii ni aibu kwakoRRONDO RRONDO,my brother open up your eyes,remove those blinkers.hivi Tanzania wewe unaona ni nchi? Hebu safiri kwanza
hujaitendea haki Tanga nitajie mita 20 ulizitembea kutoka town ukakutana na nyumba za udongo za kuchoka na je ni ipi sifa ya jiji kuitwa jiji??Tanga kuna barabara zilizojipanga vyema kabisa 21..
Tanga ndio jiji pekee ukiwa city center ukachepuka mita 20 tu unakutana na vijumba vilivyo choka hatari/vya udongo
Tanga ndo jiji pekee Tanzania lenye watu wavivu ila ni mafundi wa kuongea..
Tanga ndo jiji pekee ambalo mpk leo usafiri wa baiskeli unapewa nafasi kubwa..
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kula chakula ambacho hujawahi kula popote duniani.(unazijua chapati za ngozi 7 na maharage ya kukata?)
Tanga ndo jiji pekee Tanzania unaweza kupata huduma motomoto za mapenzi na ukasahau kabisa kurudi kwenu...
Wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kuendesha pikipiki kwa uhodari duniani..
Wanawake wa Tanga wanaongoza kwa kuvaa baibui na hijabu Tanzania bara,wakarimu na wasikivu na wepesi kutoa huduma zote utakazo bila manung'uniko.
Tanga ndo jiji pekee lililopewa hadhi ya jiji lakini halikidhi vigezo..
Tanga ndo jiji pekee ambalo halina vibaka,jiji tulivu lisilo na foleni.
Vingine nisaidieni.....!!
mzee mbona maeneo ni mengi sana,huko sahare nazijua sehem kama 6 za kukata kilaji,ukija mikanjuni ndio usiseme kunaongozwa na mofimu A na B,donge napo si hapa,ukija road no sasa huko ndo usiseme anzia pale africana,njoo kwenye jengo la ccm kwa nyuma,twende road 16&17 chimbo za kilaji zipo,tembea mzeee hapo nimekuonjesha tu.Tanga ni Tanga tu wazee iko gud sana shida tu ni kuwa viwanja vya kupata bia ni vichache sana kuna mdau kataja kwa baba ubaya kona ya sahare hio ndio chimbo la kulia viraji nkirudigi home, Home sweet Home Sahare
anasa za nyerr na mkapNi kweli viwanda vilikuwepo enzi hizo. Mmeviua kwa anasa zenu. Hata mkoloni aliimba.
Bibie siku nkiwa nakuja huko ntakuchekimzee mbona maeneo ni mengi sana,huko sahare nazijua sehem kama 6 za kukata kilaji,ukija mikanjuni ndio usiseme kunaongozwa na mofimu A na B,donge napo si hapa,ukija road no sasa huko ndo usiseme anzia pale africana,njoo kwenye jengo la ccm kwa nyuma,twende road 16&17 chimbo za kilaji zipo,tembea mzeee hapo nimekuonjesha tu.
Pitia posts zangu humu utajua nimesafiri kiasi gani. And yes Tanzania ni nchi. I'm proud of it.
Unataka nikule?aroo mkuu niheshimu kidogo basi hili tatizo la hilo watu wengi humu wanalifahamu,mods wamegoma kunifanyia marekebisho,im gentleman mzee.Bibie siku nkiwa nakuja huko ntakucheki
Alafu ukute ilikuwa ni safari ya workshop au semina.. Mwendo wa Hotel to Conference room wiki nzima..Ha ha ha, jamaa kaenda South anatangaza eti amesafiri sana!
Sorry mkuu ,Sema nini ntakucheki tu ili ukanioneshe hizo sites, your gender doesn't matter, am so sorryUnataka nikule?aroo mkuu niheshimu kidogo basi hili tatizo la hilo watu wengi humu wanalifahamu,mods wamegoma kunifanyia marekebisho,im gentleman mzee.
Alafu ukute ilikuwa ni safari ya workshop au semina.. Mwendo wa Hotel to Conference room wiki nzima..
Mia joh,ila make sure unamuaga my wife wako vizuri kama ni ruhusa usichukue si chini ya mwezi,mana raha za huku twazijua sie,asikudanganye mtu Tanga raha sana,mwanamke anaweza akakuangalia machoni tu akakuhurumia hata kama hujamtongoza hatari sana(in shekhe kipozeo voice)Sorry mkuu ,Sema nini ntakucheki tu ili ukanioneshe hizo sites, your gender doesn't matter, am so sorry
....teh hee hee..huyo ni Nas-Mapesa,sheikh wangu!.Sante nasma, kuna mijitu chuki tu zitawamaliza
Hahaha si mchezo aseeeMia joh,ila make sure unamuaga my wife wako vizuri kama ni ruhusa usichukue si chini ya mwezi,mana raha za huku twazijua sie,asikudanganye mtu Tanga raha sana,mwanamke anaweza akakuangalia machoni tu akakuhurumia hata kama hujamtongoza hatari sana(in shekhe kipozeo voice)
asante mkuu,mods wanaona raha nnavyodhalilika humu,siwalaumu wana member wenzangu hata kidogo.....teh hee hee..huyo ni Nas-Mapesa,sheikh wangu!.