Je, walijua jiji la Tanga?

Je, walijua jiji la Tanga?

Nililala pale mkonge hotel nikaamua kwenda kula uswazi kuna dada alinichangamkia nikamwomba simu yake nikamwandikia namba yangu baadae akanitafuta

Duuuuuu kiuno kilipambwa kwa shanga

Nilimtafuna kumbe mke wa mtu bana

Hii stor ni ndefu nitaitengenezea uzi
Ha ha haaaaaa
 
Kuna kipofu mmoja alibahatika kuona kwa sekunde chache, akaona punda tu. Basi kila akisikia mtu anasema/anasifia kitu yeye anauliza tu 'kizuri/mzuri kama punda?'
RRONDO RRONDO,my brother open up your eyes,remove those blinkers.hivi Tanzania wewe unaona ni nchi? Hebu safiri kwanza
 
We ni miongoni mwa wanaofikiri kwa 1%, kwa taarifa yako tanga ndio mkoa uliokua mkubwa kuliko wowote ule kuwahi kutokea tanzania,ulishawahi kujiuliza tanga kuna viwanda vingapi?Tanga ni zaidi ya unavyoijua wewe,umeenda mabokweni ukadhani hiyo ndo mandhari pekee ya Tanga,nikuambie tu siri Tanga imeuliwa na ccm kupitia kina nyrere na mkap hawa ndio maadui wakubwa waliofukuza wawekezaji na kuangamiza viwanda vyetu,acha ulimbukeni next time usiropoke uulize.TANGA RAHA ipo siku itarudi kama zamani.
[emoji15]
 
Kuna kipofu mmoja alibahatika kuona kwa sekunde chache, akaona punda tu. Basi kila akisikia mtu anasema/anasifia kitu yeye anauliza tu 'kizuri/mzuri kama punda?'
Ulienda kwa Usafiri gani
 
Kuna kipofu mmoja alibahatika kuona kwa sekunde chache, akaona punda tu. Basi kila akisikia mtu anasema/anasifia kitu yeye anauliza tu 'kizuri/mzuri kama punda?'
Muuliza
 
Toka nihamishwe kikazi toka jiji la TA kuja huku mikoani sasa najionea shida tu.
Nakumbuka mwenyewe jioni najilia pweza wangu na supu yake,baadae naenda pata chakula pale stendi kuu ya zamani.
Alafu ile stendi mpya ya Kange iko bomba na standard serikali ingejenga stendi kama zile katika mikoa mengine.
 
Back
Top Bottom