Je, walijua jiji la Tanga?

Je, walijua jiji la Tanga?

Hebu weka vigezo vya nchi, inatakiwa nini ili iwe nchi, mbona unatia shaka, kama huko uliko hukonda kwa nauli yako.
Utakuta mtu kajichimbia zake hapo Ngabobo halafu anazuga yupo SA.
 
daaa kaka unauchungu na tanga kishezi. hajui kuwa tanga school ndio shule ya kwanza tz, na baada ya hapo ukapewa kisogo kabisaaaaa, uzuri wa tanga watu wake hawapendi kupiga kelele za njaa kama huko wanakokula viwavi jeshi, tanga hakuna sehemu kuna mahindi ya dharura eti kuna njaa. tanga watu hawakatani mapanga na kupigana mikuki ndio maana serikali ikaona haina haja yakuisaidia. wameitenga tanga, sasa watangatanga na kuinanga nanga, huku si kama kule hakuna majanga
siongezi neno we jamaa unaijua Tanga asante sana.
 
Kitu nilicho shuudia tanga tofauti na mikoa mingine hususani ya Arusha na moshi ni kwamba watu wa Tanga ni WAKARIM sana na ni wacheshi si jamba la ajabu dada mrembo akakupa HI . Km huelewi unawezka kusema umependwa[emoji2] [emoji2]
 
Ndio mkoa pekee ambao mtoto wa kike wa miaka 17 anaweza kukukaribisha kwao na ukalala apo ata siku tatu bila wasiwasi ule

UKIONA HIVYO UJUE HUYO NI WABARA, WAKUJA SIO MDIGO WA TANGA, UTACHINJWA KAMA KUKU
 
kama kuna jiji ambalo sijawahi kufika na ninatamani sana siku moja nifike basi ni tanga . . . wataiponda weeee ila nasikia mandhari yake ya kipwani pwani kama ilivyo zenji na bagamoyo
Twende December mkuu
 
siongezi neno we jamaa unaijua Tanga asante sana.

Tanga ndio kwetu, kwa baba na mama. hawa wanaa wanatamani wahamishe bahari yetu waipeleke mbugani, wapiiiii. sisi huku hatuhitaji maandamano kudai mahindi ya msaada, kuleni nyie kila kitu.
 
Njoo south supermarket ndio utaona majiji.sio Tanzania maana hawajui hata maana ya neno jiji
Kaa huko huko mkimbiz wew, unaponda nchi yako we ndo wale walee
1474532969097.jpg
 
ukarimu wetu sisi ni zaid ya ukarimu,mimi kuacha kwenda kazini kwa ajili ya kukupa tafu mwanaume mwenzangu ambae ni mgeni hapa sio shida,tena ukiwa mtu wa totozi ndo unaweza kupakataa hata kwenu.
 
Tanga ni Jiji la watu wenye heshima, Wakarimu, wapole, wenye akili nyingi ila linaharibiwa na hawa wakuja kama huyu Chinga. Na pia tunapenda kufanya shughuli ndogo ndogo za kutupatia kipato sanasana Biashara kamwe hatupendi kutumikishwa ila tunapenda kutumikisha ni utamaduni tuliorithi kwa Masultani waliokuweko huku ndio maana unakuta watu wengi wa huku wanashinda kwenye Vibaraza vya Kahawa ujue wameshawekeza kwenye vitega uchumi vyao mbalimbali km Mifugo, Kilimo, Uvuvi na Biashara.
Ukija km wewe Mmchinga tunakupa Jembe ulime alafu sisi tunakaa Pembeni tunasubiri kuvuna.
 
Mkuu pata kunipa list ya hayo maeneo niko njiani kweye Ratco
hahaha mkuu we noma huonjeshwi story?anyway hapa ndo ulaya ya bongo hebu shukia hapo kwa minchi chukua boda akupeleke macarios hotel ukapewe pole ya safari then jion leo usihangaike saana nenda pale halton usipopapenda ncheki nikuelekeze mdau,karibu lavidav city.
 
Back
Top Bottom