Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Public interest ya vyama inaanzia pale serekali na vyombo vyake inapoiacha democrasia ya wananchi ichukue mkondo wake.Inapokua tofauti na hapo tayari huo unakua ni ujinga mwingine ambao kamwe hauwezi kuvifanya vyama vikawa na public interest.Sasa unakosea sana unapowaza vyama kupata ruzuku alafu unajisahaulisha kua vyama ni muunganiko wa wananchi wanaotakiwa kuiishi democrasia.sasa kama democrasia imebanwa au kuingiliwa kwa namna yoyote ile hivyo vyama vinakua nikama haviko kwamaana yakutekeleza majukumu yake kupitia hao wawakilishi unaotaka wewe wawepo ili chama kipate ruzuku.Sasa hizi sio zama zakua na vyama jina ilimradi tu vinapata ruzuku.Vinginevyo inakua haileti maana kua na nchi yenye katiba inayotambua vyama vingi.
 
Huna lolote gamba wew
 
Paskali,
Unawaambia Chadema waache ubinafsi,ignorance ,insanity,selfishness.Je unawaambai CCM nao waache nini?
Binafsi ,I am tired,my heart is down kwa niliyoyaona na kuyasikia katika uchaguzi huu.
Mtu yoyote aliyeshiriki katika haya yaliyotokea ndiye ambaye anatakiwa kukemewa.
Chadema inaelekea kufa kama NCCR mageuzi na demokrasia inarudi chini.Mwaka jana tumevuruga serikali za mitaa na mwaka huu tuna bunge la Chama kimoja.
Bunge likae chini libadilishe kanuni na ikiwezekana katiba maisha yaendelee.
 
Pascal Mayalla wewe ni akili kubwa , una uhakika wananchi wamewakataaa wapinzani kabisa ? Tusiongee kwa ushabili , tuangalie tumeanguka wapi ili tutoe ushauri mzuri ...wewe katika kalamu yako hata ndani ya roho yako najua unaumia kwa yanayoendelea nchini ...
Mimi binafsi naumia sana sana na siamini ...naongea kama Mtanzania Mzalendo ...hii hali sio ya kawaida ..Ukweli usemwe
 
Walipobana matamasha yako ukipiga kelele hukutaka kuiangalia interest ya wengine leo umerudishiwa kelele zmekuwa nyingi, pathetic
 
Anko P-
Well provocative as usual and again, the coded message is by the lines, in between them. The intrinsic stuff is for the expert.

That said, you got me into this dichotomy selection of appropriate entries into matters of PRINCIPLE and as you assert, of PUBLIC INTEREST! Very relative.

But then one might also say, when you want to reap MAHINDI, the seeds remain essentially MAHINDI. Corresponding husbandry of that crop remains, kimahindi.
Else you are bonkers, albeit UNPRINCIPLED to your own f×××××g interests as a member of same PUBLIC domain.
 
Umenena ukweli.Mimi ni mwana CCM wa kadi ya kusomea (unasoma miezi mitatu na unapewa kadi),JKT mwaka mzima tukifundwa uzalendo na kuipenda nchi yetu.
Ukweli tumejivuruga wenyewe.
 
Kwa jinsi uchaguzi wa mwaka huu ulivyoendeshwa na kuja kuletewa matokeo yenye mashaka mengi, ni dhahiri kabisa kuwa uongozi wa taifa wa chama tawala umefilisika mno kifikra na kimaono. Hiki kinachoitwa kuwa ni CCM mpya, si chochote wala lolote lile zaidi ya genge la watu waliopoteza dira na muelekeo.
 
You are using the word "obviously" rather lightly.

I asked you to provide justification and rationale for saying so, you haven't.
Your are using criticism rather lightly. I provided you with a relatively concise statement, but you literally seem obfuscated.
 
Umenena ukweli.Mimi ni mwana CCM wa kadi ya kusomea (unasoma miezi mitatu na unapewa kadi),JKT mwaka mzima tukifundwa uzalendo na kuipenda nchi yetu.
Ukweli tumejivuruga wenyewe.
Kabisa mafunzo ya uzalendo miezi mitatu ....bado JKT na vita vya ukombozi ...alafu ukitoa maoni hapa watu wanakuchukulia poaaaa ....tatizo hapa kuna vijana wakati tunakata issues hapa miaka ya 2000s ndio walikuwa wanazaliwa , siku hizi hatuna uzalendo wala mawazo chanya .....nikikumbuka enzi zile tamko dogo tu la waziri wa elimu kesho yake anakutana na umati wa vijana 5,000 kila mmoja kafika kwa njia yake ofisini kwake .....leo vijana wamekua toooo soft soft soft badi laana .....umeona wapi vijana wadogo wanashindwa hata kuhoji mambo ya kawaida..tunajenga kizazi gani .....hata viongozi baadhi tulionao walijenga ujasiri na uwezo wa kuwa critical wakiwa vijana ....leo tuna vijana walamba miguuu kwa hofu ya tumbo .....hawana kazi wapooo tu hata hawawezi kuhoji na kushauri wanadanganyika ....shaaaame vijana wa leo
 
Chadema acheni ujinga wa ignorance, insanity, selfishness ya viongozi wenu insane!, pelekeni majina ya maalum NEC
Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali.....hapo acheni ujinga wa ignorance ndo nini mbona unaoneka umepanic kimwili na kiakili na kiroho
 
Kuelimisha watu ni lazima wewe unayeelimisha uwe umeelimika. Mtu mnafiki kama wewe, siamini kama kuna mtu unaweza kumwelimisha. Waache watu wenye akili, maarifa, na walio wakweli wa nafsi zao, wawape elimu wale wenye uhitaji.

Wewe ni misfit kwa kazi hiyo, kwa sababu ya unafiki wako uliopindukia. You deserve no ear from any sensible person.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…