Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Wenye chama chao ndiyo wameamua walivyofanya, na maslahi ya umma kwako ni kukubali ujinga na uharamia ulifanyika kwenye uchaguzi mkuu, huo nao ni ujinga katika kiwango cha kukosa utimamu wa afya ya akili.
 
Utakuwa ni Insane pia kama wakati ukiyaandika haya ya ubinafsi na uinsane wa viongozi wa vyama vingine ukasahau ya chama chako, yaani ukasahau mwenyekiti wako alivyoipora haki ya wananchi kupiga kura akashinikiza vibaraka wapitishe poyoyo kama kina Taletale kuwa wabunge eti "bila kupongwa" au kumnyang'anya ushindi Prof kapuya kumpa mkwewe kwezi kule kaliua, au kushinikiza wasimamizi wa uchaguzi kubumba kura, hii ni insanity ya kiwango cha Mayyala mtoto yaani pascal

R. I. P MZEE MAYYALA the bravest
 
Maslahi ya Umma si Unafiki kama Ambavyo ndugu Pascal anathubutu kupumbaza, unafiki ni dhambi nyingine kabisa ya viwango vingine kabisa kiasi inashangaza Leo hii kuyaita maslahi ya CCM na baadhi ya makada wake kuwa ni Maslahi ya Umma, umma ni huu ulioko uraiani ambao una hitajio lake na shida zake na hasa kiu yake ni maendeleo ya usawa baada ya Tunda la Uhuru si kile bwana pole pole insane alichokuwa akikieleza mbele ya watu cha ma V8 na mamishahara kwa makada wa vyama "mtovu wa adabu", umma haukuhiari kutozwa kodi ili nyinyi CCM mtembelee V8 na kuwa arrogance,



Tanganyika ni yetu sote hata kama Mtatumia Mabavu na hira bado haitabadili ukweli bwana Mayalla usijitie chongo kwa "double standard"
 
Nyoooooo.... Mwambie Magufuli hayo maneno tukuone una maanisha, sio kutujazia njaa zako humu.
 
Hayakuwa maandamano ya amani hata kidogo. Mr Mzungu alishawaambia, Atakuwa halali yetu; Hawatatuua wote, etc. Kwa hiyo hata maandamano hayo hayakuwa maslahi ya umma, ila dirisha tu la vurugu, ghasia & machafuko.
Hata upinzani bungeni mlisema unachelewesha maendeleo.
 
Muhimu tuwe na wagombea binafsi... Lakini hayo usemayo kwa sasa ni ngumu maana chama ndio dhamana..kikikutosa na uongozi wako unakoma mara moja..
 
Mkuu Kiranga, nilikujibu ila nitakujibu tena. Kipimo cha public interest ya jambo lolote, kinapimwa kwa manufaa ya jambo hilo kwa public. Ili jambo liwe ni public interest, lazima matokeo ya jambo hilo liwe na public interest,kwa kuleta manufaa kwa jamii. Hiyo Chadema na ACT, not to participate in parliament, ina public interest gani?, public inapata nini?, hao Chadema wenyewe watapata nini?.

P
Demokrasia ingezingatiwa mngeacha wananchi wafanye maandamano ya amani. Hakuna aliyekua na silaha lakini matokeo yake vijana kadhaa walipoteza maisha. CCM haiwezi kutupangia public interest.
 
POLE SANA PASCAL MAYALLA aka NJAA
nakumbuka Magufuli sikuile alikuita wewe NJAA.

Ni ngumu sana kwako kupata uteuzi Magufuli alisha kukataa tangu UKIWA NA AKILI TIMAMU KWA MASWALI YAKO YA MSINGI KWA TAIFA, yeye alikuona wewe ni adui.

Bora ungeendele KUISIMAMIA NA KUISEMEA KWELI Kuliko huo unafiki unaokutesa.

UMECHELEWA SANA MZEE WANGU.
 
Yale magari ya kampeni ya kijani yaliyokua yameandikwa CCM ,gharama za safari na posho kwenye kampeni za CCM ziligharamiwa na chama au ni pesa za umma! Pia ule ukarabati wa makao makuu ya CCM pale pesa zilitoka wapi ?Ukijibu hapa ndio nitakuuliza swali lingine kwa maslahi ya umma
 
Hili apedomia linazeeka vibaya sana na kujikomba kulikopitiliza! Maandishi mengi halafu hayana substance yeyote.
Unatumia vifungu gani vya Katiba na Sheria kusema hayo uliyoandika?!
The law must be followed as it is. Hatufuati maoni ya kipoyoyo yasiyo na msingi wa Kisheria.

Vyama ni mali ya wanachama na vina Katiba zake na viongozi wake. Vyama vina mauzi yake kwa mujibu wa Katiba zao.

Kupewa ruzuku ni takwa la Kisheria, hakukifanyi chama kuwa taasisi ya Serikali (huu ni mtizamo wa kijinga kabisa).

Ccm ilipofukuza wanachama wake uliwahi kuja kupotosha hapa na hiyo mimaandishi mirefu ya kipopoma!?

Maamuzi ya chama yatafanywa na chama husika, siyo Serikali wala wewe mtafuta uteuzi wa uzeeni.
 
What makes you say so?

Which foreign interests?

Are all foreign interests bad?

Some foreign governments give a lot of aid to fund social services in Tanzania, is that bad?
Not all special interest groups a deleterious travesty to national and social security, peace and sustainable development; but their case is obviously an untenable, indefensible situation.
 
Hao jamaa wanataka kutupigisha maktaimu ili tukianza kuucheza muziki wao batili na ghiliba waturudishe tulikotoka. Mtu asiye mzalendo hana japo sifa ya kusikilizwa tu. Tunawajulisha hadharani kwamba HAPANA yetu ilikuwa ya HERUFI KUBWA, na wala hatuna mpango wowote wa kuyabadili mawazo.
 
Back
Top Bottom