Mkuu Mhdiwani , mimi nilipata kura mbili tulikuwa wagombea 176, hivyo nikijitathmini nilivyo jiandaa kwa uchaguzi huo, investment niliyowekeza, na kura nilizopata, kiukweli kura mbili ni nyingi sana, haswa kwa kuzingatia kuna wengine wengi tuu, hawakupata kura kabisa!.Kwani wewe ulipata kura ngapi kwenye kura za maoni?
Huna lolote mpuuzi wew eti unajipendekeza tu ili wakuone kwenye cake ya taifa sbb ulichoandika ndicho wanachokiwaza wakubwa kwa ss hvyo umejitahidi kuwafurahishaMkuu Mhdiwani , mimi nilipata kura mbili tulikuwa wagombea 176, hivyo nikijitathmini nilivyo jiandaa kwa uchaguzi huo, investment niliyowekeza, na kura nilizopata, kiukweli kura mbili ni nyingi sana, haswa kwa kuzingatia kuna wengine wengi tuu, hawakupata kura kabisa!.
P
Mkuu yuzazifu , asante kwa hoja hii, upinzani Tanzania ni michosho sana, ukiwaeleza ukweli wanakuwa wakali, tunawashauri upinzani wa kweli ni upinzani Bungeni na kule ni kushindana kwa hoja, lakini hawasikii.mwanzo nilidhani malalamiko ya wapinzani kuibiwa kura yana ukweli ndani yake bt juzi nilipokua nafuatilia sakata la ndugu ambae ni miongoni mwa walokamatwa ajili ya vurugu za uchaguzi ndo nikaujua ukweli wa mambo...
police walitumia mbinu ya kutaka kitambulisho cha mpiga kura ili kubaini kama walokamatwa wamepiga kura au wanatumika vibaya kisiasa bt cha ajabu
zaidi ya 80% ya waliokamatwa hawana kitambulisho cha mpiga kura akiwemo ndugu yangu, kwa mantiki hii upinzani unapaswa kujitafakari na kuchukua hatua madhubuti kama wanataka kuwa washindani wa kweli wa chama tawala na sio kufanya siasa za majitaka ajili ya maslahi yao.
You are using the word "obviously" rather lightly.Not all special interest groups a deleterious travesty to national and social security, peace and sustainable development; but their case is obviously an untenable, indefensible situation.
Kwahiyo hukushindana ili ushinde, bali ulishindana ili usiwe wa mwisho!Mkuu Mhdiwani , mimi nilipata kura mbili tulikuwa wagombea 176, hivyo nikijitathmini nilivyo jiandaa kwa uchaguzi huo, investment niliyowekeza, na kura nilizopata, kiukweli kura mbili ni nyingi sana, haswa kwa kuzingatia kuna wengine wengi tuu, hawakupata kura kabisa!.
P
pascal,
- Public parties na Public interest maana yake ni nini?
- Ni nani anasimamia au na kujua ni nini hiyo public interest?
- Je public interest inaruhusu kuiba Kura?
- Je Public party ni lazima ifuate public interest?
- Ni nini maana ya public party ?
- Ni nini maana halisi ya hiyo insanity, naona ina walakini kwa tafsiri yako...
- jee ni sawa kwa wapinzani wakubali kuhalalisha wizi huo kwa kukubali matokeo ya wizi wa kura?
- ushauri.. tafadhari, punguza kuandika andika humu vitu ambavyo hauna uhakika na maana yake kiufasaha... watu bado wana makovu na maumivu ya uchaguzi... ya nini kuwawekea chumvi kwenye vidonda vyao? waache wapone kwanza ndio uje na mabandiko yako...
Ni hayo tu kwa sasa...
Mkuu tindo , kwenye hili la mimi kugombea, nililieleza vizuri kabisa hapaKwahiyo hukushindana ili ushinde, bali ulishindana ili usiwe wa mwisho!
Mkuu Kiranga , uchaguzi hauendeshwi na CCM, unaendeshwa na NEC ambayo ni Tume huru ya uchaguzi japo sio Shirikishi!.Swali la msingi hapa ni hili.
Unakubali kwamba CCM imeharibu sana uchaguzi na kuiba kura sana na hivyo matokeo ya uchaguzi huu ni batili?
Tafadhali jibu kama Mtanzania anayependa haki, na si kada anayetetea chama chake tu.