Mwombeki muhaya
Member
- Jul 14, 2011
- 24
- 29
Makala zako "fikilishi" mbona hazijagusia wizi na uporaji wa haki za wananchi Bara na Visiwani? Ukishakuwa na double standard, ukatanguliza tumbo mbele akili nyuma huwezi ukawa mchambuzi bali utakuwa unapraise na kuworship.