Na shida kubwa ya utakaye muajiri ni binadamu, hata umlipe kiasi gani, umtendee wema kiasi gani, kuna uwezekano mkubwa siku moja ataingiwa na tamaa na hapo ndio mwanzo wa biashara kufa , lazima uwe na mbinu za ziada za kujua maendeleo ya biashara yako.Ni kweli Mkuu, wakati mwingine wasiwasi wako ndiyo faida yako pia. Imagine una deni la Benki, hapo lazima uwe macho masaa 24 kufatilia
Uko sahihi Boss,Na shida kubwa ya utakaye muajiri ni binadamu, hata umlipe kiasi gani, umtendee wema kiasi gani, kuna uwezekano mkubwa siku moja ataingiwa na tamaa na hapo ndio mwanzo wa biashara kufa , lazima uwe na mbinu za ziada za kujua maendeleo ya biashara yako.
Hapana camera hufungi kwa vyumba unafunga korido na reception na coner ya ili mteja umuone akiingia pia kwa usalama wa kibishara lazima ufunge mfano mtu akija na mtu alafu akaua lazima biashara yako itakufa so kuweka wazi wa biashara yako na kusaidia usalama lazima ufungeAsante kwa ushauri Mkuu, ingawa kuna mdau hapo juu ana doubt kuwa inaweza kukimbiza wateja wakijua wanaoneka kwa Camera.
Asante kwa Ushauri Mkuu, nadhani nitatafuta hidden CCTV ambayo inakuwa mlangoni kama Taa ya Kawaida kumbe inacheki watejaachana na mambo ya kutengeneza 'urafiki' hakuna kitu hapo, atakupiga tu, binadam haturidhiki
muhimu ni CCTv Camera, iweke mapokezi itazame mlango ( vizuri ikawa hidden )
Shukrani kwa ushauri Mkuu, Kumbe Camera is a MUSTHapana camera hufungi kwa vyumba unafunga korido na reception na coner ya ili mteja umuone akiingia pia kwa usalama wa kibishara lazima ufunge mfano mtu akija na mtu alafu akaua lazima biashara yako itakufa so kuweka wazi wa biashara yako na kusaidia usalama lazima ufunge
Ndio hivy make utaomb ushauri mwishoni2 lazim uwe na mtaji wa kutoshaShukrani Boss
Let's keep hustling
Nice God blessing you big bossTayari nimeshafika Benki, namalizia Process zao soon watanipa.
Utashangaa members wa humu ndiyo wateja wako wakubwaTayari nimeshafika Benki, namalizia Process zao soon watanipa.
Ingawaje changamoto ya Mwenye Elimu kubwa ni Ku demand mshahara mkubwa.Jitahidi uajiri ata aliesoma cheti au diploma,anaweza akakusaidia vizuri kuliko wale ambao hawajasoma au wameishia darasa la saba; kwa mwenye elimu anakuwa tayari na mwanga wa faida na hasara. Akiwa mwanamke itakuwa ni bora zaidi kuliko mwanaume
Mkuu umeongea jambo nililosahau la kupata wahudumu walau wawili ili wapate na muda wa kupumzika kuongeza Morale ya kazi.Biashara nzuri.
Kikubwa upate wafanyakazi waamnifu ,ile design ya watu ambao hata wakiona mteja kasahahu simu wanitunza , watu ambao sio janja janja , tafuta kijana mmoja mtulivu anayejielewa hata kutoka mkoani ,
ukimlipa vizuri atapiga kazi vyema ukipata wawili ni vizuri ukawapangia ratiba nzuri ili wawe wanapata muda wa off kazi zisiwachoshe wakapoteza ufanisi.
Kikubwa upate waamninfu maana wengine unaweza kuwalipa vizuri na bado kila siku wakawa wanakupiga pesa za show time/wale wateja wasiolala!!
Mkuu ifanye hii biashara , maintenance yake ni ndogo kama uwekezaji ukisha simama!!Mkuu umeongea jambo nililosahau la kupata wahudumu walau wawili ili wapate na muda wa kupumzika kuongeza Morale ya kazi.
Hili nilisahau kabisa