kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,896
Hapa nina maanisha kufilisika/kufulia kukosa uhakika wakupata angalau chai kwa siku. kutengwa na ndugu. kukosa kazi muda mrefu, Kuugua na watu kukutenga, kukosa kodi ya nyumba./mahali pa kulala, kusingiziwa kwamba hutafuti kazi au kusemwa umelogwa ndugu kusema una laana.
Kukatishwa tamaa kwamba Mungu kakuacha,kwamba unasali uwongo
Kudharauliwa na mambo kama hayo na je?
Uliweza vipi kuchomoka katika hali hiyo?
Unauliza kama kuna mtanzania keshawahi kupitia maisha magumu??
