flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,442
Yaani mimi ishapiga sana naishapigana sana nademu, usiombe ukakutana nademu kama wangu mnapigana kwanza alafu baada yakumjeruhi nakumshinda nguvu ndio anaomba msamaha, kuna kipindi tulizichapa mpaka akalazwa watu wakajua ndio tunaachana hivyo, ila akanipigia simu nikamuone hsptl maana ugomvi ulikuja kuamuliwa namama yake, akabebwa akapelekwa kwao kufika kwao akazidiwa ikabidi apelekwe hsptl
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app