Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Hahahaa kuna siku kwenye ugomvi nikamwita mtu mse**ge
Daah nilikula bao sitasahau
Sasa ile hasira nikakaa nje hukoo yeye akalala akajua yameisha
Nikatafuta panga lilipo nikazama nalo chumbani
Nikamwamsha nalo
Aisee alikurupuka manake nilikuwa serious akajua namchinja kweli...
Toka siku ile nikimuudhi anajiondokea kimya kimya



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa kuna siku kwenye ugomvi nikamwita mtu mse**ge
Daah nilikula bao sitasahau
Sasa ile hasira nikakaa nje hukoo yeye akalala akajua yameisha
Nikatafuta panga lilipo nikazama nalo chumbani
Nikamwamsha nalo
Aisee alikurupuka manake nilikuwa serious akajua namchinja kweli...
Toka siku ile nikimuudhi anajiondokea kimya kimya



Sent using Jamii Forums mobile app
We kiboko
Panga kabisaaa
 
We bwana weeee hebu nikome
Yaani ugomvi wa wazazi kuuhamishia kwa watoto ni kuwakomoa watoto na kuwapa adhabu zisizostahili.

Dah sikujua km uwezo wa akili yako ndiyo umeishia hapa.

Wape watoto wako malezi bora kitabia, kiakili, kisaikolojia, kimwili na kiimani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiacha fimbo za walimu mara ya mwisho nimepata kipigo nikiwa na miaka 15, Kutoka kwa mlezi, na mara ya mwisho nimepigwa nilijiapiza kuanzia leo sipigwi tena
Je kile kipigo cha kitandani?

Wa sukumaland
 
Nimepiga sana makofi, Mara ya mwisho no huyu aliyekuja kuwa mama watoto wangu miaka kadhaa nyuma... Majibu yasiyoeleweka na kununanuna ndiyo chanzo. Kuna kitu nilijifunza ikawa mwisho. Siku hizi nikikasirika naondoka nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha tulipangisha mpigaji home yaani haipiti wiki kipigo kwa mkewe siku hiyo tunashangaa jamaa analia kama mtoto ndani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wapo dilishani wanauliza humo ndani kwema, mwanamke kimya,kumbe mwanaume kashikwa chini hafulukuti 😄😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana.
 
Ahahah kweli tuliposhauriwa tusitumie short chassis wahenga waliona mbali! Sasa umezingua umetiwa adabu unarusha stuli ya nini tena mzaa chema? Ulionewa?!
Mkwe sasa wewe shirt chassis unaanzaje kuchukua mwanamke mrefu🙆🙆🙆

Yes nilionewa.
 
Back
Top Bottom