orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 3,101
- 5,343
inategemea na uzito wa mkono mama,nikikupa moja laweza kuwa na uzito wa maanaVibao viwili vitatu, sio kunitengua kiuno lakini 😂😂😂
inategemea na uzito wa mkono mama,nikikupa moja laweza kuwa na uzito wa maanaVibao viwili vitatu, sio kunitengua kiuno lakini 😂😂😂
Sasa hayo mapenzi si bora mtemane tu.Yaani hawa wapuuzi huwa wanaona sifa kupiga wenzao, nilimkosa kosa na stuli.
Bora muachane mie nilitaka kuvunja uchumba, mtu anapiga kibao utazani umepigwa na ubapa wa panga haa
Hiyo aina ya upigani kama ni ndoa nitaitundika juu ya mti mambo ya kudhalilishana hapana kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeeee wenzio wanatenguliwa mpaka viuno, nguo zinamvuka kisha kipigo cha mme
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu napozungumzia nature namaanisha from the first time human beings were createdukizungumzia nature mkuu ni kwamba ni genetics ambayo ni lazma mwanamke awe chini ya mwanaume,but now the world/environment changed/shape us globally kitu ambacho sio uhalisia wetu,mwanaume abaki kuwa mwanaume tuachane na mambo ya magharibi ndo wametupeleka uku,mwanamke lazma apigwe ili nimshape nitakavyo,sitaki kuwa kama mzee adamu na bibi hawa
Naomba niiweke marital status yangu as private mkuuare you married? mwanamke yapaswa awe vile mumewe apendavyo wazazi wetu walikua wanapishana umri mama anakua na umri mdogo na anakua amefundwa kwelikweli ,najua kumpata kama mama,bibi ni ngumu ila haya yote ni matokeo 50%,wanawake nao wanapiga vibaya waume zao ,ni hatari sana kufanya unavyosema Blue G
well said,you are brave brother,!meet you in heavenMkuu napozungumzia nature namaanisha from the first time human beings were created
Mkuu amina nakwambia naturally mwanamke anasense of being dominated by his man
Kuna kitu kinavutia ukiona mwanaume wako anakudominate coz hiyo inaonesha utofauti kati yako na mwanaume wako pia kinaleta sense Fulani ya security kwamba una mtu ambaye anaweza kuput things under control
Lakini domination isiwe in the form of kupiga hapo narudi tena mkuu Big No
Unapompiga mwanamke haumkati ile kiu yake ya kuwa dominated badala yake unaibua sense of fear na kumfanya aishi na wewe kinafiki na kama ana asili ya vinyongo basi wafwa unatengeneza adui was kuishi naye chini ya bati moja
Kiufupi tu mkuu mwanaume halisi atamuweka mwanamke kwenye position yake just using brain na zawadi ya asili aliyopewa na Mungu ya kudominate mwanamke wake na sio kwa kumpiga
Never do that mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
well said,you are brave brother,!meet you in heaven
Ahahahahahahah.Yan unalazimisha uchapwe kofi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni mimi kabisaa