Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Mkuu mbona weye hujafunguka kuhusu suala hili?
Me nishawahi boss, ila now anajitambiua na me sikudhamiria kufanya hivyo , Just kihere here chake nikipiga napiga kama naua , .

Mi nilikuwa namwambia kuwa nitakupiga since january to dec, siku nilipombariki heshima imekaa mkao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangejua nidhamu ya uwoga,Asilimia kubwa ya wanawake wanao pigwa hasira zao huwa wanasaliti mahusiano yao kama kulipiza kisasi na mengine
[emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji849][emoji849][emoji849] stop usiendelee kuonge boss, .
Ngoja nifanye good deeds , then nimtoe out nizungumze nae kama ananiogopa ama ananiheshimiu.

Dah Leo nimejua kuwa kupiga hakusaidii kivileee japo kwa kiasi chake inasaidia.

Sipendi kuogopwa napenda kuheshimiwa .

Ahsante kwa kunifungua boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kabisa Mrs Van! Kuna mrembo alipigwa kibao kimoja uso wote ukaamuka kama katia hamira. Macho yote yalivimba na ule upande alionaswa kibao kitakatifu damu kibao ilivilia jichoni. Alipoanza kupona akaanza kuhadithia hili la kupigwa hadi kuona nyota alidhani ni hadithi tu lakini kibao kile aliziona nyota nyingi tu.

Kindness is free sprinkle it everywhere.

Kofi la mpenzi haliumi
 
[emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji849][emoji849][emoji849] stop usiendelee kuonge boss, .
Ngoja nifanye good deeds , then nimtoe out nizungumze nae kama ananiogopa ama ananiheshimiu.

Dah Leo nimejua kuwa kupiga hakusaidii kivileee japo kwa kiasi chake inasaidia.

Sipendi kuogopwa napenda kuheshimiwa .

Ahsante kwa kunifungua boss

Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana na nikuombe umuombe msamaha kabla kisasi chake hakijakuamkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom