Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

nilimwambia siwezi kukupiga ila siku nikikupiga ujue utakuwa nusu marehemu coz hasira zangu zinanifanya nishindwe kuongea na kifua kinabana mpk nashindwa kupumua, nikifikia hatua hiyo nahisi nitakuwa nashusha makonde kama yakimakonde bila kusema chochote huku majirani wakisoma historia ya marehemu mtarajiwa.
Kuna wanawake wengine wabishi, bila 'mkong'oto' hawaelewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wakiwa na Mimba bhana wanachekesha sanaa. anaweza amka ana kisirani balaa yani usifanye kitu anamind hatarii mpaka anaweza kwambia ukienda huko leo usirudi sitaki kukuonaa..!

Kimsingi sio kila anachosema mwanamka ana maanisha so kipigo kinamkumbusha aache ujingaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapo naanza tena zoezi la kuomba samahani kwa kosa ulilofanya wewe.

Nakuwa nakwambia, pole, sitakukasirikia tena ukikosea, sawa eeh!

Haya nyamaza.

Hapo ndo nishakuwa Mume Bwege.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]nimecheka jamani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]nimecheka jamani.


Sent using Jamii Forums mobile app

Usiombe ukaingia kwenye mahusiano ya anakosa yeye wewe ndiyo unaomba samahani.

Ni shida.
 
Back
Top Bottom