Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Sitokaa nisahau kile kibao kabisaaa!! Kilikuwa kimoja tuuu ila niliona nyota zoote za mbinguni zimehamia pale sebleni!
Lakini baada ya kibao now days akisema kitu mnaelewana mapema eeeh [emoji3]

Yaani hiyo style aliyoitumia jamaa ndo fresh niki 1 tuu, afu hanyanyui tena mkono wake kukupiga

Cos kama kakupa hicho changuvu bado ukarudia yale yale kwa Mwanaume smart lazima aelewe hawez tenaa kukurekebisha kwa kipigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh nilipokea kipigo cha mbwa koko kisa kutotoa ushirikiano kwenye mgegedo....me nilikua sijisikii mwenzangu anataka doooh mvua ya ngumi ilinyesha...pasuliwa sim ,vunjiwa saa,,yan nyang'anyang'a...na ela nkapewa juu....tukasolve yakaisha hatujakaa sawa nimetimba magetoni anaomba mzigo naleta kamgomo weeeee alitaka kunichoma na mkasi kabsa shingoni mweee yule kaka...tukaachanaga kwa nguvu ivo ivo.....mpka Leo naogopa ugomvi bora nikimbie nikiona hari ya hewa imechange au nijishushe mpaka apoe kuna watu wanahasira dunia hii cjapata ona....

am better here
 
Acha kabisa Mrs Van! Kuna mrembo alipigwa kibao kimoja uso wote ukaamuka kama katia hamira. Macho yote yalivimba na ule upande alionaswa kibao kitakatifu damu kibao ilivilia jichoni. Alipoanza kupona akaanza kuhadithia hili la kupigwa hadi kuona nyota alidhani ni hadithi tu lakini kibao kile aliziona nyota nyingi tu.

Kindness is free sprinkle it everywhere.
Uwiii sasa huo ni zaid ya mkong'oto. Kibao sio lazima cha usoni lakini alitaka kumuharibu tu mwenzie reception [emoji85][emoji85]
 
Na hili ndilo nisilolitaka la kisirani cha kila wakati na mengineyo. Warembo wote hawa? Kama imeshindikana kuelewana kwa kukaa chini na kuzimaliza tofauti zetu kwa kuongea kipigo kitaongeza tu tatizo husika.
With all due respect naomba nitofautiane na wewe kimtizamo, Hakuna anaependa kupiga labda awe na mkono mwepesi.

Wako wanawake pasua kichwa amini nakwambia nimeshuhudia kwa ndugu yangu (bro), bro ni mkimya sana ila mke maneno mengi sana. Kuna siku sikuamini macho yangu mana ugomvi ulikuwa mkubwa hatari.

Sitaki kusema mengi ila mwanamke anaweza kukupush hadi mwisho aone utachomfanya, so diplomasia yako kwa mazingira ya kiafrika ni nadra sana kua applicable. Nlichojifunza kwa kisa cha bro ni kuwa wanawake kuna mda wanataka makofi mawili matatu wakae kwenye font fed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inagusa sana, huo si ni ubakaji sasa, pole kwakweli
Mmmh nilipokea kipigo cha mbwa koko kisa kutotoa ushirikiano kwenye mgegedo....me nilikua sijisikii mwenzangu anataka doooh mvua ya ngumi ilinyesha...pasuliwa sim ,vunjiwa saa,,yan nyang'anyang'a...na ela nkapewa juu....tukasolve yakaisha hatujakaa sawa nimetimba magetoni anaomba mzigo naleta kamgomo weeeee alitaka kunichoma na mkasi kabsa shingoni mweee yule kaka...tukaachanaga kwa nguvu ivo ivo.....mpka Leo naogopa ugomvi bora nikimbie nikiona hari ya hewa imechange au nijishushe mpaka apoe kuna watu wanahasira dunia hii cjapata ona....

am better here

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini baada ya kibao now days akisema kitu mnaelewana mapema eeeh [emoji3]

Yaani hiyo style aliyoitumia jamaa ndo fresh niki 1 tuu, afu hanyanyui tena mkono wake kukupiga

Cos kama kakupa hicho changuvu bado ukarudia yale yale kwa Mwanaume smart lazima aelewe hawez tenaa kukurekebisha kwa kipigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh
 
Mmh mimi ata kunyanyua mkono siwezi, sio kwa mke tu bali kwa mwanamke yeyote, Ntatumia njia nyingine lakini sio hiyo.

Makabila mengine yanaamini ukimpiga mwanamke ndio anakupenda zaidi, lakini me naona hii ni mila potofu

Ukiona mnafika hatua za kupigana kwenye ndoa, basi hamuijali miili yenu

😀ont folo folo me wizout ene bikoz:
Una akili sana wewe
 
Back
Top Bottom