Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Kwahio asilale home kwa upumbavu wako! Yani unikere nikalale nje?Mwanaume wakupiga me hapana aisee sijawai na naomba isiyokee kwangu kamwe awe anatoka tu hata asiporudi kwa usiku uwo tu lkn
Kwahio asilale home kwa upumbavu wako! Yani unikere nikalale nje?Mwanaume wakupiga me hapana aisee sijawai na naomba isiyokee kwangu kamwe awe anatoka tu hata asiporudi kwa usiku uwo tu lkn
Yani untupie kikombe nitakushushia mfuweni hadi useme shikamoo baba! Dharau gani hio, means unakaidi utawala wangu ama kiburi!Si mnajitia mna nguvu, basi mtapambana na vikombe na sahani.
Kama unajijua hupendi kupigwa usitengeneze mazingira hayo ukitegemea miujizaMwanaume wakupiga me hapana aisee sijawai na naomba isiyokee kwangu kamwe awe anatoka tu hata asiporudi kwa usiku uwo tu lkn
Kama unajijua hupendi kupigwa usitengeneze mazingira hayo ukitegemea miujiza
Ahaa, karibu sana kwenye ulimwengu wa grownfolks ambao majukumu yanatauchanganya af ulete uzushi wa hivyo!Napenda kutengeneza mazingira ila sijawahi bahatika kupata wakunionjesha hata kibao wanaishia kunambia utoto uwo
Kwahio asilale home kwa upumbavu wako! Yani unikere nikalale nje?
Ahaa, karibu sana kwenye ulimwengu wa grownfolks ambao majukumu yanatauchanganya af ulete uzushi wa hivyo!
Kupigwa ni hatua ya mwisho kabisa, sio kwamba mtu anajiandaa kukupiga. Kero zikizidiKwani wewe huna njia nyingine ya kuexpress hasira zako mpk upige?!aliekwambia mtu hujifunza kwa kupigwa nani??
Sasa nakuchanganya na nini labda?Na me ukinichanganya nikufanyeje?!
Kupigwa ni hatua ya mwisho kabisa, sio kwamba mtu anajiandaa kukupiga. Kero zikizidi
Sasa nakuchanganya na nini labda?
Mie nikizingua ntasema sorry mama!Kwaiyo wewe unajihesabia uko right mda wote anaezingua ni mwanamke tu
sasa utaacha kupigwa alloo!
Mie nikizingua ntasema sorry mama!
Sasa kama utafanya makusudi yako ukiwa unajua kabisa ni kero ntavumilia after sometime ntakubutua tu no way!Still haijustify kupiga
Sasa kama utafanya makusudi yako ukiwa unajua kabisa ni kero ntavumilia after sometime ntakubutua tu no way!
hichi kizazi ni hatari,mwaume akikosea mwanamke antakiwa yeye ndo aombe msamahaKwaiyo wewe unajihesabia uko right mda wote anaezingua ni mwanamke tu
Hahah mi mpole sana yani, mwanamke mpole ndio size yangu na sitakaa nimpige ata siku moja. Vichwa nati ndio wangongwaga makwenzNakuombea upate mbabe wako usipoacha hii tabia kuko unakotafuta uwepo
Napenda kutengeneza mazingira ila sijawahi bahatika kupata wakunionjesha hata kibao wanaishia kunambia utoto uwo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani untupie kikombe nitakushushia mfuweni hadi useme shikamoo baba! Dharau gani hio, means unakaidi utawala wangu ama kiburi!