Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Mwanaume mpigaji huwa hapigi mara moja lazima aludie tu.
Hapana,
kwa mfano makundi ni sehemu mojawapo inayochangia sana wanawake kuzalisha migogoro katika ndoa zao.

Ikiwa alipata kibao kwa maana hiyo na akayaepuka makundi ya hovyo akajifunza na kubadilika hakika ugomvi unaweza usiuone kabisa sikunyingine katika maisha yenu.

Mara nyingi wanawake wasiopenda kujifunza na kuendekeza ubishi wameathiriwa na aidha;

1. Malezi mabovu ya baba kutokana na ulevi.
2. Ama baba yake mzazi alitangulia mbele ya haki mapema hivyo hakupata malezi ya baba yake.

3. Ama walitengana na mama yake akapata athari za kisaikolojia na akafunzwa na kuaminishwa ya hovyo na mama yake.

Otherwise mtoto aliyelelewa na baba na mama kwa malezi bora,
Ataelewa majukumu ya baba, ataelewa majukumu ya mama

Na baadae ataelewa majukumu ya mumewe na mwisho ataelewa majukumu ya mumewe na watazaa vizazi vyema.

Zamani watu walimuoa binti wasiemjua kwa kutazama sifa za baba yake. Kwa wenye akili hii wanajua maana yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaza kwa sauti tuu,hivi kwenye upendo wa kweli kunakupigana?mwili wake ni mwili wako,na mwili wako nimwili wake iweje uupige mwili wako

Simpendi mtu yoyote anae mpiga mwanamke

Alichokuuzi mpaka ukaamua kumpiga nini?mbona wewe umemuuzi sana hajakupiga anakuangalia tuu
Mmmmhfyuuuuu

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom