Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Sitokaa nisahau kile kibao kabisaaa!! Kilikuwa kimoja tuuu ila niliona nyota zoote za mbinguni zimehamia pale sebleni!
Ninawiwa kukuheshimu kwa kuwa mkweli.
Lakini ninaamini kuna kitu ulikiona kile ambacho wanawake wengi hawajawahi kukiona.
Vipi ulijufunza kitu?
Au ulikengeuka zaidi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!

Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!

Hiyo ulikutana na mkono wa chuma, mwanaukome...
 
Ninawiwa kukuheshimu kwa kuwa mkweli.
Lakini ninaamini kuna kitu ulikiona kile ambacho wanawake wengi hawajawahi kukiona.
Vipi ulijufunza kitu?
Au ulikengeuka zaidi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah...
Naweza kuwa nilijifunza pia! Maybe ningempa ile simu bila kusema chochote mpaka amalize labda ningepigwa!

Saivi kama kitu kinahitaji maelezo huwa namuacha aseme mwenyewe! Kitu ambacho naona kinamtesa sana hasa akishindwa kuanza kutoa maelezo, maana huwa siulizi na ananiona niko happy sijabadilika na siulizi!
 
Daaah...
Naweza kuwa nilijifunza pia! Maybe ningempa ile simu bila kusema chochote mpaka amalize labda ningepigwa!

Saivi kama kitu kinahitaji maelezo huwa namuacha aseme mwenyewe! Kitu ambacho naona kinamtesa sana hasa akishindwa kuanza kutoa maelezo, maana huwa siulizi na ananiona niko happy sijabadilika na siulizi!

Hayo ndo mateso makubwa aisee, kumkalia mtu kimya ambaye anajua umejua kosa lake.

Hapo mnatengeneza gap kubwa kwenye mahusiano yenu.
 
Sema Sakayo we ni gud wife. Unaonekana mpole mwenyewe, infact i easily fond for cool girls/women na nishakuwaga nae mmoja. Sikuwahi kupata sababu ya kumpiga tho kuna mda tulipishana ila she was always cool ani ananuna tu. Namchekesha na kumbembeleza then we are good again.

Bad thing about wanawake wapole, they keep things inside!!! Sakayo utakuwa shamba darasa, kofi la first year hadi leo watoto wanakaribia kwenda secondary! Ha ha
Aaargh, wewe unatuzingua bana! We ni SHEMALE? Au unatafuta attention ya Wadada tu humu? Acha upumbavu na hizo comments zako, Wanaume wa ukweli hatupo namna hiyo.
 
Hayo ndo mateso makubwa aisee, kumkalia mtu kimya ambaye anajua umejua kosa lake.

Hapo mnatengeneza gap kubwa kwenye mahusiano yenu.
Hapana jamaniii, na sifanyi hivyo makusudi! Hapendi kuulizwa ndo sababu ya kile kibao!
Mimi nililiona hilo, akiona kuna sababu ya kutoa maelezo ni sawa! Wala siwezi mkasirikia sababu hajatoa maelezo!
 
Hapana jamaniii, na sifanyi hivyo makusudi! Hapendi kuulizwa ndo sababu ya kile kibao!
Mimi nililiona hilo, akiona kuna sababu ya kutoa maelezo ni sawa! Wala siwezi mkasirikia sababu hajatoa maelezo!

He will take you for granted, atafikia makosa yatakuwa mengi na hataona sababu ya kukuambia chochote, wakati wewe utakuwa humuulizi pia, maana utakuwa hujui uanze na kipi uache kipi.
 
Back
Top Bottom