Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Uko sahihi
Kwanza tukubaliane hamna mtu anayependa kumpiga mkewe labda kama wale wenye mkono wa kupiga kabisa kabisa.

Mimi maisha ya ujana haya sijawahi piga mwanamke akikosea ishu ya kupigwa, namuacha badala ya kumpiga.

Huyu mwanamke wa sasa ni mpole nikisema anasikia vizuri tu na kufuata maelekezo hivyo kusema kumpiga ni matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima na kufanya awe nunda.

Ila mpenzi wangu akiniuliza hivi ukinioa nikikuuzi sana utanipiga? namwambia ukweli kabisa tokea tumeanza mahusiano hujawahi fanya kitu kibaya mpk Nika lose control ila haimaanishi sitakuja kukupiga ukizingua.Kofi moja kubwa la nguvu litakuhusu.

Tukubaliane hapa 70% ya wanawake bila Kofi Moja kubwa la nguvu kwa mwaka mara Moja au mbili,ndoa nyingi zisingedumu.

Inafikiaga kipindi mwanamke aelewi kabisa hata ukijaribu kurudia rudia badooooo yaani anakuwa kama amekuzoea, anakudharau sasa zinapoanza dharau na makofi yanakuwa automatic tu yaani mkono unakuwa mwepesi tu.

Huwez kumuacha mwanamke au kupeleka kesi kwa wazazi eti mke wangu anisikilizi nisaidieni au eti mke wangu nikimwambia sipendi majibu ya dharau hataki kwahiyo namuacha khaaa lazima tutumie njia zote ya upole,ya serious,ya ukali, makofi ndo sasa yakuachana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora uende lupango kuliko uliyempiga akiamua kukukabili km malipo ya kipigo ulichompa
Ikifikia kutaka kumnasa vibao MUPENZI ni bora kubwaga manyanga. Unaweza kujiharibia maisha for the rest of your life ukabaki na majuto mjukuu ukiwa lupango. Kibao paaaaaaaa! Mrembo kaanguka! Inuka inuka na wewe UMEUA bila kukusudia.

Rafiki yangu kipenzi pia alishuhudia kaka yake akimtandika mkewe kwa kuchelewa kurudi akiwa amelewa. Aliogopa sana alidhani Kaka yake kamuua mkewe kwa kipigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kunikabili haliwezekani hata kwa sekunde moja, ila mapenzi yakifikia kumpiga unayempenda si penzi tena bali ni janga.
Labda umuache, lakini tunazo njia nyingi za kuwakabili na kuvuruga maisha yenu yote na hasa tu kama umetujeruhi na bado mkaendelea kuishi na sie kwa kuamini umesamehewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unapiga vibao vya nguvu vinne, unachukua shuka unajifunika unapiga usingizi mpaka asubuhi. Ukiamka unamsalimia asipo itika unaoga unachemsha chai yako unakunywa, unamuaga asipo itika unaenda job unarudi saa nne usiku umeshakula unatulia sebleni kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu,watu wanafikiri kwenye ndoa tunapiga wanawake kisa mfumo dume,wanawake wanatofautiana sana,bila makofi wengine ndani mnaweza kuwekeana mpaka zamu ya kupika na kusafisha nyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hili ndilo nisilolitaka la kisirani cha kila wakati na mengineyo. Warembo wote hawa? Kama imeshindikana kuelewana kwa kukaa chini na kuzimaliza tofauti zetu kwa kuongea kipigo kitaongeza tu tatizo husika.

Labda umuache, lakini tunazo njia nyingi za kuwakabili na kuvuruga maisha yenu yote na hasa tu kama umetujeruhi na bado mkaendelea kuishi na sie kwa kuamini umesamehewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom