Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Nina huruma sema nini nilikereka wakuu kule juu wanavyotamba kutoa dozi kwa wanawake zao,,, kama wana ubavu kweli watamke tambo hizo mbele ya wanawake zao
Kuna mmoja kasema anapiga na mwanamke anampigia goti asimuache( mi uniue labda, unipige na nipige goti kuomba nisiachwe)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja kasema anapiga na mwanamke anampigia goti asimuache( mi uniue labda, unipige na nipige goti kuomba nisiachwe)
Kabisa huyu anaweza kukuendea gym kabisa ili afanikishe ule mpango wa kukubana pumzi ukiwa usingizi asubuhi wanakuta umesha-RIP. Huyu kapeace sio sport kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app