Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Laiti tungeweza kurudisha kwa kuwapiga basi tungewarudishia vipigo lakini hatuna nguvu hizo, na hicho ndicho kinafanya unajengeka uadui mwisho wa siku adhabu zetu ni kama hizoIla hii ya kumwaga sumu kwa watoto siiafiki kabisa. Magomvi ya wazazi ni kosa kubwa kuwahusisha watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app