Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Vipi mkuu hautamani kuacha,alafu kitu kingine huwa siwezi kununa boss, ani hata afanye nini kesho nikiamka as usual Namtakia asubuhi njema , au nampigia aamkeN mchana mwema , namuuliza kama amekula, jioni the same, .
Mkuu kingine sinaga tabia ya kusubiri kesho au baadae akizingua namfungukia mda huo huo ,.

We have something in common Boss

Sent using Jamii Forums mobile app
umefunzwa vyema,ukibadilika tuu kichapo lazma
 
sijawahi mpiga mpenz wangu mpya anapokosea namwambia tu kosa lake alaf tunasolve
japo ananipenda sana mm ata sijampenda kivile
maumivu niliyoyapitia kwenye mapenz
yalinifundisha kupenda kwa kutumia akili sio moyo

hata mke nitakaekuja kuoa sitampenda sana nitampenda kawaida tu kwa kumjali kama binadamu mwenzangu

Anaestahili kupendwa kutoka moyoni ni Mungu pekee maana yeye habadiliki

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu hapo unajidanganya tuu. Mtu akishakuwa Mke Kumpenda kunakuja automatic. Kifupi huwezi oa mwanamke usiyempenda ila mwanamke anaweza olewa na mwanaume asiyempenda.
 
Unapigwa na talaka unaomba kwa magoti isiandikwe!

As a woman you should know your position kwenye food chain!

Sio baba akitoa amri na wewe unaonesha pumbu!

Subutuuuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wewe unaenitolea hukumu ndiye unastahili sifa ya mume mzuri au?

Ni mawazo yako siwezi kukuzuia ama kukupangia uwazeje
kapeace Wewe ni mwanamke, unaweza kuwa mwanamke mzuri. Ila unaonesha sio Mke mzuri. Sifa moja kubwa ya mwanamke ni UPENDO kwa familia yake, na kuwa na moyo wa kusahau na kusamehe. Ila wewe huna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom