Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Hicho ni kile tunaita kipigo kitakatifu!
alafu chanzo si kingine ni mdomo boss, na kila nikimwambia nitampiga , kesho kwenye utani analichomeka kuwa kwetu sijawahi pigwa since nazaliwa ije kuwa wewe , Kidume nakaa kimya nlivyompiga hiyo juzi hajaamini ila nafsi inanisuta maana sikudhamiria ilitokea tuu ju alileta mdomo na majibu ya maudhi yenye kuamsha Hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna wakati inaweza kuwa misunderstanding tu mpenzi ila kiukweli nakuwa sijakosea chochote kwa hiyo linakuwa ni suala la kueleweshana tu. Nimeuliza hivi ni kwamba mimi ni mwepesi sana kuomba msamaha nikiona nimekosea ila sinaga samahani ya kutimiza wajibu, ile samahani ya funika kommbe mwanaharamu apite maana najua kesho anaweza kurudi tena kwa njia ile ile tena akiwa na marafiki zake.
Mis understanding ndogo ndogo hazina shida! Namie kupiga ni mpaka nikishakwambia nikaukie ukaendelea kulopoka lazma ntakuzima mdomo wako mchafu!
 
alafu chanzo si kingine ni mdomo boss, na kila nikimwambia nitampiga , kesho kwenye utani analichomeka kuwa kwetu sijawahi pigwa since nazaliwa ije kuwa wewe , Kidume nakaa kimya nlivyompiga hiyo juzi hajaamini ila nafsi inanisuta maana sikudhamiria ilitokea tuu ju alileta mdomo na majibu ya maudhi yenye kuamsha Hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa chanzo ndio hikohiko hata mimi kinaamshaga mapepo yangu najikuta nimetua banzi!
 
Haha kwa hiyo nikutreat kama baba yangu? Come on honey ila kiukweli unaweje kumpiga mtu unayempenda? Mimi nimepigwa sana aisee kwanza sijalelewa na mama yangu mzazi ila kipigo kutoka kwa mwanaume hapana aisee nakiogopa ukizingatia sijawahi kupokea kofi la baba, kaka wala mjomba kwa hiyo huwa najaribu kuimagine kipigo cha mwanaume kinafananaje aisee nahisi kuzimia
Siyo kweli kwamba unapompenda mtu huwezi kumpiga kuna sehemu inafika maudhi yamezidia Dear, .
Umezungumza kwa kila namna mtu haelewi .

Sidhani kama nipo peke yangu , Me nikikwazwa na mtu yeyote to the core huwa nashikwa na hasira hadi Machozi yanatoka yenyewe Tangu nikiwa mdogo hiyo ndo namna yangu ya kuonyesha nimekwazika so huyu mbebi mama nahisi aliniona fwala jinsi nilivyokuwa so Kila nikimwambia atakula kifinyo tukiwa sawa analeta jokes ntapigwaje na kilizi , Kiukweli niko too sensitive huwezi amini nikiona tuu mtu anafanyiwa kitendo kibaya siwezi zuia machozi,.

Au mtu amepata ushindi fulani nacelbrate nae kwa kulia machozi ya furaha so akawa ananiona fwala Nimempa kitakatifu kipigo ambacho hata me kinaniumiza.
Anyway ANGALIENI MIDOMO YENU WANAWAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah hilo jamaa sio li nyaki kweli?

Anyways pole kwa mkasa uliokukumba ila tu kwa usalama wako na wa baby face yako usipende kwenda kwa mwanaume kama haujiskii kusex nae. Katika hali ya kawaida jamaa alikuita ili akupige mikasi, ikiwa wewe mahitaji yako anakupa hakuzungushi wewe kwanini umletee zengwe?

Yani huyo mchizi alikuwa sexmaniac ila sio mbaya umejifunza kitu. Zingatia ushauri wangu hapo juu, better off kutoa excuse kuliko kuleta porojo mkiwa chumbani. Utachaniwa chupi upigwe miti ukiwa na Periods zako hutaamini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870]Extrovert

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli kwamba unapompenda mtu huwezi kumpiga kuna sehemu inafika maudhi yamezidia Dear, .
Umezungumza kwa kila namna mtu haelewi .

Sidhani kama nipo peke yangu , Me nikikwazwa na mtu yeyote to the core huwa nashikwa na hasira hadi Machozi yanatoka yenyewe Tangu nikiwa mdogo hiyo ndo namna yangu ya kuonyesha nimekwazika so huyu mbebi mama nahisi aliniona fwala jinsi nilivyokuwa so Kila nikimwambia atakula kifinyo tukiwa sawa analeta jokes ntapigwaje na kilizi , Kiukweli niko too sensitive huwezi amini nikiona tuu mtu anafanyiwa kitendo kibaya siwezi zuia machozi,.

Au mtu amepata ushindi fulani nacelbrate nae kwa kulia machozi ya furaha so akawa ananiona fwala Nimempa kitakatifu kipigo ambacho hata me kinaniumiza.
Anyway ANGALIENI MIDOMO YENU WANAWAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa ushauri
 
Hasa chanzo ndio hikohiko hata mimi kinaamshaga mapepo yangu najikuta nimetua banzi!
Vipi mkuu hautamani kuacha,alafu kitu kingine huwa siwezi kununa boss, ani hata afanye nini kesho nikiamka as usual Namtakia asubuhi njema , au nampigia aamkeN mchana mwema , namuuliza kama amekula, jioni the same, .
Mkuu kingine sinaga tabia ya kusubiri kesho au baadae akizingua namfungukia mda huo huo ,.

We have something in common Boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe this is me kabisa. . Kama sijakosea, no samahani hata iweje. Ntalipotezea tu lipite ila kuomba msamaha sahau. Wanaume wengi wana tabia anafanya kosa, afu anakugeuzia kibao wewe ili umuombe msamaha.
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna wakati inaweza kuwa misunderstanding tu mpenzi ila kiukweli nakuwa sijakosea chochote kwa hiyo linakuwa ni suala la kueleweshana tu. Nimeuliza hivi ni kwamba mimi ni mwepesi sana kuomba msamaha nikiona nimekosea ila sinaga samahani ya kutimiza wajibu, ile samahani ya funika kommbe mwanaharamu apite maana najua kesho anaweza kurudi tena kwa njia ile ile tena akiwa na marafiki zake.
 
Unataka nitoe siri za kambi wewe!

Kwa ufupi tu jitahidini mcontrol hasira zenu na mikono yenu muifanye mizito katika hili km una pepo au malezi yamekuathiri kaombewe,

tembelea wataalamu wa kisaikolojia watawasaidieni

Mwanamke utaemuoa mwambie udhaifu wako ulipo hii itamfanya yeye akusaidie kuacha hiyo tabia au ikitokea ukamuadhibu basi akupe msamaha wa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua muumini mkubwa sana wa kutopenda kupiga wanawake na nilikua sijawahi kupiga mwanamke maishani mwangu. Kuna siku nimetibuana na wife basi anaongea kama radio sio chumbani,sebuleni wala uani,ilifika point nikamwambia afunge mdomo tu yaishe lakini wapi. The weird thing akanikunja shati kwa shingo huku maneno yanamtoka tu ,alikula kofi moja la hatari sana mpaka alikaa chini.

Sometimes wanawake wana push beyond limit za uvumilivu wa wanaume wapole kama mimi kupokea maneno mabaya,hapo tena mtu funguo kaweka kwenye chupi yani huwezi hata kutoka kuepuka shari,hapo ndipo vinatokea vipigo vya kimazingira . Ila kwa wale wapigaji ambao mpaka wife akikosea kitu anajiandaa kwa kipigo kabla husband hajafika home hii sio sawa hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah hilo jamaa sio li nyaki kweli?

Anyways pole kwa mkasa uliokukumba ila tu kwa usalama wako na wa baby face yako usipende kwenda kwa mwanaume kama haujiskii kusex nae. Katika hali ya kawaida jamaa alikuita ili akupige mikasi, ikiwa wewe mahitaji yako anakupa hakuzungushi wewe kwanini umletee zengwe?

Yani huyo mchizi alikuwa sexmaniac ila sio mbaya umejifunza kitu. Zingatia ushauri wangu hapo juu, better off kutoa excuse kuliko kuleta porojo mkiwa chumbani. Utachaniwa chupi upigwe miti ukiwa na Periods zako hutaamini!
Amna hakua mnyaki alikua wa mpanda uko mgomvi tokea utotoni...tatizo sex za mtu anae vuta bangi hamalizi mapema akipanda kushuka sahau me nilikua siendani nae maana alikua mkubwa kwangu kwaio likija swala la sex naona ni adhabu badala ya kuenjoy....he he be yaaan kwakweli mpka Leo ata mtu akiongea kwa ukali namuogopa...

am better here
 
Back
Top Bottom