Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 5,137
- 9,425
- Thread starter
- #541
Kama khantwe na Kapeace nahisi wanakula vipondo sana tuu ila wanajifariji hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji870][emoji870]Naona wengi wa wachangiaji wanajifanya ni wasio na mihemko ya hasira, hatutaki tu kusema ukweli kwa tunayoyafanya majumbani mwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app