BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Duh! Pole sana ungeendelea na huyu angekutia kilema au angekuua.
Yaaan nilichoka kwakweli kuna siku alinikimbiza barabarani nkalukia kwwnye daladala imagine nilisuka yebo fasta zilinyofoka kwa kuvutwa...ile naingia kwenye daladala nkakaa siti ya mwisho na hema hatari abiria wanaanza kuniuliza we vip unaumwa....baada ya kuokolewa ndo akanza kuwa Malaya sasa njunjana na mademu hatari kwa kisingizio alinipenda sana lkn me sikumpenda kwaio umalaya wake anasema mm nimesababisha....dah
am better here