Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Wakati babaako anakupiga ulikuwa unajihami? Unajua tatizo la wanawake wa sikuhizi mnaozeshwa kiholela bila wazazi ku pass values! Obviously mwanaume anaekuoa anaenda ku assume majukumu ya baba yako na kakaako at the same time!
Watoto waliolelewa kimayai hawafundishwi adabu ndio maana ndoa zinawakataa!
Haha kwa hiyo nikutreat kama baba yangu? Come on honey ila kiukweli unaweje kumpiga mtu unayempenda? Mimi nimepigwa sana aisee kwanza sijalelewa na mama yangu mzazi ila kipigo kutoka kwa mwanaume hapana aisee nakiogopa ukizingatia sijawahi kupokea kofi la baba, kaka wala mjomba kwa hiyo huwa najaribu kuimagine kipigo cha mwanaume kinafananaje aisee nahisi kuzimia
 
Mkuu mwili huu hujawahi kupigwa na sidhani kama nitapigwa sichukui wanaume wa ajabu ajabu nimekosea huwa naeleweshwa mtoto wa kike kwa lugha lainiiii sio ubondia kama una mbavu mashindano yapo ya kulipwa.
Unafikiri ni wa ajabu ajabu basi mdogo wangu... tema mate chini ukitema juu yatakurudia

Wanaume wote wana mfumo dume ni vile hatuna nguvu za kuwapiga ndo maana tunawapa adhabu mbaya za kuwamaliza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kabisa Mrs Van! Kuna mrembo alipigwa kibao kimoja uso wote ukaamuka kama katia hamira. Macho yote yalivimba na ule upande alionaswa kibao kitakatifu damu kibao ilivilia jichoni. Alipoanza kupona akaanza kuhadithia hili la kupigwa hadi kuona nyota alidhani ni hadithi tu lakini kibao kile aliziona nyota nyingi tu.

Kindness is free sprinkle it everywhere.
😁😁😁 umenikumbusha "Mkuki na Nyota Publishers!"
 
Ukiandika pumba nakuita mbutuaji
Wakati babaako anakupiga ulikuwa unajihami? Unajua tatizo la wanawake wa sikuhizi mnaozeshwa kiholela bila wazazi ku pass values! Obviously mwanaume anaekuoa anaenda ku assume majukumu ya baba yako na kakaako at the same time!
Watoto waliolelewa kimayai hawafundishwi adabu ndio maana ndoa zinawakataa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza nikasema nina bahati ya kuwa nao ambao si wakorofi kiasi hicho. Wengi wao ukiwaambia sijapenda hiki au kile basi wanaomba samahani mie mrembo akishaomba samahani sioni sababu ya kuendeleza varangati.

With all due respect naomba nitofautiane na wewe kimtizamo, Hakuna anaependa kupiga labda awe na mkono mwepesi.

Wako wanawake pasua kichwa amini nakwambia nimeshuhudia kwa ndugu yangu (bro), bro ni mkimya sana ila mke maneno mengi sana. Kuna siku sikuamini macho yangu mana ugomvi ulikuwa mkubwa hatari.

Sitaki kusema mengi ila mwanamke anaweza kukupush hadi mwisho aone utachomfanya, so diplomasia yako kwa mazingira ya kiafrika ni nadra sana kua applicable. Nlichojifunza kwa kisa cha bro ni kuwa wanawake kuna mda wanataka makofi mawili matatu wakae kwenye font fed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom