Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Sio rahisi wakaelewa. Nashangaa watu wanavyolazimisha kuheshimiwa. Hivi tuseme tu kweli; wanaume wenyewe ndo huwa hawana maudhi, hawatukeri? Kumpiga mwanamke kills her self esteem na kwa kuwa wengi hawana nguvu za kurudishiw; wanabaki kujenga visasi.
Afu hata abusers nao huwa wanaanza hivi hivi in the name of disciplining their wives. Wao wanaume ndo huwa wana adabu sana au? Washindweee
Afu hata abusers nao huwa wanaanza hivi hivi in the name of disciplining their wives. Wao wanaume ndo huwa wana adabu sana au? Washindweee
Hongera zao na hao wanawake who settle for this nonsense. Watu wazima tuanze kutiana ulemavu wa uzeeni, kisa???? Kuna malaika huko kwenye ndoa ambaye hakosei?Best nasubiri maoni yako labla vidume watakuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23] tuseme nini sasa, watu wanatukuza kupigana utadhani wakipiga mtu wanapata hela mxiieeww