Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Kiukweli Mke wangu mpenzi kokote ulipo sintokupiga asilani. Ntakukumbusha tu kuwa upumbavu sitaki ila kama mnavyojua hii story ni ya kugusa sana kwahio ntamgusa inapobidi!
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Yaaani mecheka mimi jamani!
 
Sikuwahi kujua kumbe walio olewa wote wamepigwa ila kwa mama yangu sikuwahi kushuhudia hili.

Utajulia wapi wewe!

Kabla hata hujazaliwa,mama alishapokeaga maumivu na akaelewa position yake kwenye food chain!

Mpaka nyie mnazaliwa,alishaelewa somo na hawezi rudia kumpima baba tena!

Nyie mnakuja kutotolewa,mnaona watu wanam-obey baba bila maswali mengi unadhani wana-obey tu sababu ni baba?

Women hua wanajaribu kupush,they get what they deserve and know their rightful limits!
 
Sikuwahi kujua kumbe walio olewa wote wamepigwa ila kwa mama yangu sikuwahi kushuhudia hili.
Ujawahi kushuhudia kwa sababu wazazi wako walijiheshimu sana kuepusha fedhea mbele yenu ila kama mama yako ni mtata mtata jua chumbani makofi alikuwa anayaoga kama kawa! Yani mwanamke mkorofi salama yake apate mwanaume mpole kama mimi vinginevyo atakula umeme tu!
 
sijawahi mpiga mpenz wangu mpya anapokosea namwambia tu kosa lake alaf tunasolve
japo ananipenda sana mm ata sijampenda kivile
maumivu niliyoyapitia kwenye mapenz
yalinifundisha kupenda kwa kutumia akili sio moyo

hata mke nitakaekuja kuoa sitampenda sana nitampenda kawaida tu kwa kumjali kama binadamu mwenzangu

Anaestahili kupendwa kutoka moyoni ni Mungu pekee maana yeye habadiliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom