Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Mwaka 2015 sikumbuki tulipisha kiswahil gan na wife ukazuka mzozo na kama unavyojua wanawake ukishampenda na kumuheshimu na ukizingatia kama elim hatuna tofauti basi huwa wanaona kama tunawaogopa sana.

Maneno yakaanza bwana, nikatulia kimyaa sebuleni yy yuko pembeni.Kaongeeeeaaa ila mm nimetulia kimya tu.(kipindi hicho alikua na mimba ya miezi kama mi 3,sasa sijui kama ndio ilikua inamsumbua).Kumbe kukaa mm kimya kunazidi kumkera anataman tujibizane.

Nikaona isiwe tabu nikazama gheto kulala ingawa ilikua mchana sijaenda kazini.Akanifuata gheto bado anaoiga kelele.Nikatulia kimya nikaamka.Bado kelele zinaendelea.Nikanyanyuka nitoke nje kabisaa akaniwah kukaa mlangoni eti anazuia nisipite nibaki ndani.
Nikamwabia nomba kupita, eeh!!hapo ndio akanivaa mwilin et ananioiga push na kifua chake.Nikaona isiwe tabu.NILIMUWASHA KIBAO KIMOJA TU kitakatifu ,akajikuta amerushwa mpaka kitandani.Mm nikatoka nje nikatuliaaa.Na ukizangatia hii ndio ilikua mara ya kwanza na alikua ana mimba basi hichi kitendo kilinifanya nijiskie vibaya sana.Nikajua sasa maisha yatakua magumu kwa muda acha nijiandae kisaikolojia.

Eeh!Cha kushangaza kama baada ya saa moja namuona huyo anakuja nje kuniaribisha ndani nikale chakula.Nikashangaa sana.Na upendo ukaundlea kama hakuna kilichotokea.

Wanawake ni wa ajabu sana kuwaelewa.
 
Hahaha hahaha
Nililia wiki nzima!! Kila nikikumbuka nalia tuu! Daaah lile likibao hapanaaaaa
Sema Sakayo we ni gud wife. Unaonekana mpole mwenyewe, infact i easily fond for cool girls/women na nishakuwaga nae mmoja. Sikuwahi kupata sababu ya kumpiga tho kuna mda tulipishana ila she was always cool yani ananuna tu. Namchekesha na kumbembeleza then we are good again.

Bad thing about wanawake wapole, they keep things inside!!! Sakayo utakuwa shamba darasa, kofi la first year hadi leo watoto wanakaribia kwenda secondary! Ha ha
 
Hapo ndo wanawake tunakosea eti olewa unambie!! Mtanyanyasika sana habari za kuhalalisha kipigo....mi wangu hanipigi na nishakataa huo ujinga

Hahahahaaaa

Eti wangu hanipigi,dada acha kutudanganya hapa!

Hakuna mtoto mdogo hapa ujue!

Ni kwamba,kwenye lifespan ya ndoa yako kuna mahali aidha mwanzo au whatever period,ulishawahi pewa ubatizo wa moto na kuanzia hapo una displine hujawahi mtibua kabisa!

Tunaita,knowing your position!

Kama ubatizo haujawahi fanyika,it is a matter of time lazima atakuweka sawa tu na utaelewa your position!

He is keeping up with your bullshit all this time,kuna siku lazima atakuweka sawa na mapepe yote yatakuisha na utamuheshimu mia mia!

Wewe ruka ruka tu now humu JF na uongo wako...

In here people can smell lies from miles away!

Stop acting,I have stopped movie production!
 
Back
Top Bottom