Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,454
Haya Mambo ya Muungano yamekuwa na kelele miezi hii 2 toka Jiwe afariki.
Kitu nimegundua Watanganyika wengi sio kwamba hawampendi Mama Samia ila hawapendi kuongozwa na MTU kutoka Zanzibar.
Kitu nimegundua Watanganyika wengi sio kwamba hawampendi Mama Samia ila hawapendi kuongozwa na MTU kutoka Zanzibar.