KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
sasa mbona mmefuta nilichoandika jamani ? kwani nimemtukana kaka steve d au ? kwa kweli sioni sababu ya kufutwa nilichoandika, naomba mrudishe !
Well naona weekend imekwisha mapema. Tumkome Nyani sasa sio Ngabu bali Giladi.
Thanks.
Well naona weekend imekwisha mapema. Tumkome Nyani sasa sio Ngabu bali Giladi.
Thanks.
hii thread ingependeza kama ikihamia kwenye udaku, hapa si mahala pake.
Baada ya kusoma makala ya mmoja wa wanachama wenzetu hapa kwenye Tanzania Daima siku ya Jumatano, nimeanza kuamini kuwa ndugu yetu huyu ana lake jambo au kuna watu wanamtumia kumsakama Waziri Mkuu. Ni nani anamlipa na kumtumia kumuandama kiongozi wa Taifa namna hii? Makala yake ya mwisho (Ukiingia Tanzania Daima bonyeza "Gazeti la Jana hadi ufikie Jumatano) ina kichwa cha habari ya "Ka Sungura ka Lowassa, na Aliyekula Ng'ombe". Hapa ofisini watu walikuwa wananyang'anyana gazeti ili kusoma kitu hicho na ameanza kujipatia mashabiki wengi.
Jambo moja tulilokubaliana ni kuwa kuna mtu au kikundi cha watu kinamtumia. Namshauri tena apunguze kasi au achukue breki, siyo wote wanafurahia maandishi yake. Ni ushauri mwingine wa bure.
Asante.
Yaani centi hamsini analalamika kwa nini mla rushwa LOWASA anaandamwa?
This is Februaryy my friend na kwa taarifa yako kila waziri kwenye serikali ya JK tutakula naye sahani moja na infact on both sides za PRIVATE na PUBLUIC life yake
As long as anakula pesa za walipa kodi then tutakuwa hatuna budi kuwaandama na kuwamulika na kama hupendi vijiwe viko vingi tuu
Tangu kamati ya Richmond imeanza kazi, sijamsikia tena huyu mwanadada bi senti 50. Ako wapi?
Aje amtetee Lowassa hapa!
Kamanda kumbukumbu yako imetulia...Wengine watapoteza kazi si unajua new PM anaweza kuja na timu yake mpya.
Kamanda kumbukumbu yako imetulia...
Vipi Mchambuzi naye kaishia wapi?Anayejua aliko tafadhali sana amwombe aje hapa atuchambulie hali iliyoelekea Lowassa kuwa jobless na kuonyesha kuwa hiyo ni matokeo ya "sumu iliyoachwa na Nyerere"
Kwani wewe ni waziri mkuu? Wewe ni mwizi nini?
Una wasiwasi gani? Ukweli unakuuma? Unaogopa hela zitaacha kuja kwako?
Watu wote sio wadanganyika kama wewe bwana, usisome, kwani wewe inakukerea nini hiyo makala?
by the way who are you to stop anybody from saying what they want to say?