Je, ni mwanamke yupi alikuwa mke wa kwanza wa Adam kati ya Eva ama Lilith?

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Naomba kufahamu, kati ya Lilith na Eva ama Hawa ni nani alikua mke wa kwanza wa Adam.

Biblia inasema Eva ndio mke wa Adam pekee na kwamba ametoka kwenye ubavu wake lakini vitabu vya kiyahudi vinasema Lilith ndio alikua mke wa kwanza wa Adam kabla hawajagombana na Adam kuachana.

Kwa msingi huo, ukifuata mtiririko wa historia, vitabu vya kiyahudi vimeitangulia biblia hivyo vinnaweza kua na historia nzuri zaidi ya Adam kuliko Biblia.

Swali, kwa nini Lilith hazungumziwi kwenye Biblia kwamba alikua ndio mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eva na badala yake Biblia inamzingumzia Eva peke yake?

 
si kwa wakati mmoja though....myth inasema Lilith was the first. Lilith alipoanza u-feminism Adam akamtimulia mbali na Sir God akampa Adam kongole kisha akamtengenezea chombo kipya
Yeah, hoja ni kwamba Eva hakua demu wa kwanza wa adam kula, adam alishakua na manzi wake kabla aliekua anamla.

Shida ilianza baada ya Lilith kutaka awe anakalia mashine, Adam hiyo style hakuipenda, akaona atamvunjia mashine, akamtimua.
 
Yeah, hoja ni kwamba Eva hakua demu wa kwanza wa adam kula, adam alishakua na manzi wake kabla aliekua anamla.

Shida ilianza baada ya Lilith kutaka awe anakalia mashine, Adam hiyo style hakuipenda, akaona atamvunjia mashine, akamtimua.
si kukalia mashine tu, ni kila kitu, kutaka ye ye pia awe mkuu wa familia. kama feminists walivyo siku za leo. Na ndiyo sababu huandaa maandamano na warsha na huziita "Lilith fair"
 
Naomba kufahamu, kati ya Lilith na Eva ama Hawa ni nani alikua mke wa kwanza wa Adam.

Biblia inasema Eva ndio mke wa Adam pekee na kwamba ametoka kwenye ubavu wake lakini vitabu vya kiyahudi vinasema Lilith ndio alikua mke wa kwanza wa Adam kabla hawajagombana na Adam kuachana.

Kwa msingi huo, ukifuata mtiririko wa historia, vitabu vya kiyahudi vimeitangulia biblia hivyo vinnaweza kua na historia nzuri zaidi ya Adam kuliko Biblia.

Swali, kwa nini Lilith hazungumziwi kwenye Biblia kwamba alikua ndio mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eva na badala yake Biblia inamzingumzia Eva peke yake?

Hizo hadithi ziko nyingi.

Katika biblia kuna vitabu vinaitwa Apocrifa.
Hivi ni vile ambavyo baadhi ya makanisa havivitumii.
Na ndiyo maana biblia zinatofautiana, ya kiroma 72, za Kiprotestanti 66, orthodox 79 n. K

Sasa kuna kitabu (Apocrifa) kimoja kinaitwa Kitabu cha Henock (Enock) hiki kitabu kimeeleza vizuri sana hadithi hii ya uumbaji.
Hapo ndo utamuelewa Lilith, na kaelezewa humo.
Lilith alianza kabla ya Eva.

Hadithi ya uumbaji inaeleweka vizuri humo kwani mtunzi alikuwa na hadithi pana.

Kitabu hiko kilitolewa tu kwasababu kadhaa. (utawahoji mababu wa kanisa, kanisa katholic)

Angalizo:
Hadithi hizi ni hadithi kama hadithi zingine tu.
Hadithi za uumbaji na bible kwa ujumla hazina ukweli wowote ule hivyo bhasi zinapaswa kusomwa kwa lengo la kujifurahisha na kuburudika.
 
Yeah, hoja ni kwamba Eva hakua demu wa kwanza wa adam kula, adam alishakua na manzi wake kabla aliekua anamla.

Shida ilianza baada ya Lilith kutaka awe anakalia mashine, Adam hiyo style hakuipenda, akaona atamvunjia mashine, akamtimua.
Man down.....
 
si kwa wakati mmoja though....myth inasema Lilith was the first. Lilith alipoanza u-feminism Adam akamtimulia mbali na Sir God akampa Adam kongole kisha akamtengenezea chombo kipya
Kwahiyo huyu lilith ndo binadamu wa kwanza kuumbwa ama? Yaani alikuwepo kabla ya Eva?
 
Kwahiyo huyu lilith ndo binadamu wa kwanza kuumbwa ama? Yaani alikuwepo kabla ya Eva?
Hilo swali na maswali mengine kama hayo ndio hasa maswali magumu ambayo yanatilia shaka historia ya uumbaji iliyoko kwenye biblia.
 
Hizo hadithi ziko nyingi.

Katika biblia kuna vitabu vinaitwa Apocrifa.
Hivi ni vile ambavyo baadhi ya makanisa havivitumii.
Na ndiyo maana biblia zinatofautiana, ya kiroma 72, za Kiprotestanti 66, orthodox 79 n. K

Sasa kuna kitabu (Apocrifa) kimoja kinaitwa Kitabu cha Henock (Enock) hiki kitabu kimeeleza vizuri sana hadithi hii ya uumbaji.
Hapo ndo utamuelewa Lilith, na kaelezewa humo.
Lilith alianza kabla ya Eva.

Hadithi ya uumbaji inaeleweka vizuri humo kwani mtunzi alikuwa na hadithi pana.

Kitabu hiko kilitolewa tu kwasababu kadhaa. (utawahoji mababu wa kanisa, kanisa katholic)

Angalizo:
Hadithi hizi ni hadithi kama hadithi zingine tu.
Hadithi za uumbaji na bible kwa ujumla hazina ukweli wowote ule hivyo bhasi zinapaswa kusomwa kwa lengo la kujifurahisha na kuburudika.
Aa bana unataka kusema Bible nayo ni mastory!!??
 
Aisee ndio kwanza namsikia leo huyu lilith. Mna maana gani kusema lilith alikuwa mke wa kwanza wa Adam wakati Kipindi anaumbwa hakukuwa na mwanadamu mwingine. Mpaka Hawa kutoka kwenye ubavu wa adamu..
 
Usikute ndio ile Adam na Hawa sisi tukadhani Hawa ni jina kumbe ni Adam na "hawa wake zake"

Nyie......
 
Back
Top Bottom