Je, wajua kwamba yupo mwanamke wa kwanza kuumbwa kabla ya Hawa?

MICHO PETER

New Member
Aug 23, 2022
2
7
Hello đź‘‹đź‘‹, habari za mida.

Leo nataka niwafahamishe kitu ambacho wengi hawakujui juu ya uumbaji. Bila shaka wengi wetu tunaelewa kuwa Binadamuu wa kwanza katika uumbaji wa mwenyezi MUNGU alikua ni ADAM akafatiwa HAWA kama msaidizi wake katika bustani ya Eden.

Hyo yote n kwa sababu ya maandiko matakatifu katika Biblia na vitabu vya kidini. Lakini Kuna mambo ambayo biblia haijaweka wazi vitu flani kama mada yeti inavyojiekeza hapo juu.

Leo nataka utambue hili kwamba kabla ya uumbaji wa HAWA alikuwepo mwanamke mwingine aliyeumbwa pamoja na ADAM jina lake aliitwa RILITH, mwanamke huyu aliumbwa sawa kabisa na ADAM licha ya kwamba walitofautiana jinsia, lakani vitu vingine walifanana kabisa ,Misuri,uwezo Yani Nguvu piah hakuna aliyekuwa dhaifu kwa mwenzake, hivyoo ikitokea kutokuelewana kati Yao basii humo bustani kutatokea vurugu isiyokuwa na Mshindi Wala anayekubali kujishusha.

Maisha yalivyozidi kuendelea bustani humo ilifikia hatia ADAM akawa anamlalamikia mwanamke huyo kwa MUNGU na kuomba abadilishiwe msaidizi kwa maana RILITH alionekana mwenye vurugu na ugomvii mda wote.

Ilifikia hatia RILITH aliamua kwenda mbali na Bustani ya Eden na kutokomea mapangoni , basi ADAM alipeleka malamiko kwa MUNGU na kudai kuwa Yule mwanamke ametoroka bustani na kwenda kusiko julikana, ndipo mwenyezi MUNGU alipo amua kutuma malaika wake kwenda kumtafuta RILITH na kukutwa katikati ya mapango makubwa, walipo mpasha habari kwamba arudi bustani ya Eden Kama matakwa ya Mungu aligoma na ndipo akaomba ruhusa kwa MUNGU kua aruhusiwe kuwa jaribio kwa wanadamu na ndipo MUNGU alipo mruhusu.

ADAM alibaki mpweke bustani ya Eden mpaka pale MUNGU alipo amua kumpa msaidizi wake mwingine ambapo alimfanya mwanamke mwenye uwezo dhaifu kulinganisha na ADAM. Aliamua kumpa mwanaume usingizi mzito na akamtoa mwanamke katika ubavu wa huyo mwanaume...katika mwanaume alifanywa mwanamke aliyeitwa HAWA.

Kadri siku zimeenda RILITH akiwa mapangoni ,shetani katika pita pita akamkuta RILITH ndipo alipo furahia baada ya kujiogotea Dodo jangwaniii, ndipo alipo anzisha mahusiano mapya na huyo mwanamke na ndipo wakaanzisha familia ya kizazi Cha kishetani , katika hao mashetani yaliongezeka na wanadamu tukazidi kuingia majaribuni .

Katika bustani ya Eden HAWA akiwa na mumewe ADAM maisha yalizudi kuendelea ndipo RILITH akiwa kwa umbo la tofauti aliamua kuingia bustani ya Eden kwa lengo la kumjaribu mwanadamu, akamuingia HAWA na kumshawishi ale tunda la uzima kwa lengo la kujua mema na mabaya, katika udhaifu mkubwa mwanamke akajikuta anaingia katika mtego wa RILITH bila kujua, Akala like tunda na ndipo akamshawishi na mumewe ADAM alile , hapo ndipo ikawa chanzo Cha kulaaniwa Shetani na Mwanadamu.

Kwa hasira ya MUNGU aliamua kuviua vimashetani vyooye vya uzao wa RILITH na akapiga vita kubwa akamtumpa duniani , na ADAM na HAWA wakalaaniwa kuzaa kwa uchungu wakafikuzwa bustani ya Eden...
Na hapo ndipo maandiko matakatifu yakapewa nafasi ya kuelezea matukio yote . Kwa kuwa historia ni kubwa na ukisema viandikwe vyote basi kitabu kingekua kikuubwa hakuna mfano , basi history ikaondoa hadithi ya RILITH na kuanzia kwenye maisha ya ADAM na HAWA na uzao wao hat milele.

Na hiyo ndiyo historia fupi ya mwanamke wa kwanza kuumbwa kabla ya HAWA.

Mjue RILITH Sasa...tukutane katika makala nyingine hapo majariwa.

Mwandishi: MICHO PETER
 
Ufunuo wa Yohana 22:18
Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

Ufunuo wa Yohana 22:19
Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
 
"RILITH akiwa kwa umbo la tofauti aliamua kuingia bustani ya Eden kwa lengo la kumjaribu mwanadamu, akamuingia HAWA na kumshawishi ale tunda la uzima kwa lengo la kujua mema na mabaya"


Kwamba Rilith uliyemuandika wewe alikua shetani?

Tunda la uzima lilipotelea wapi?
 
Katika sura ya kwanza ya Biblia Mungu aliwaumba Adam na Hawa wakiwa roho tu pasipo nafsi na mwili na akawaita jina la Adam,katika sura ya pili ya Biblia Mungu akamfanya Adam kwa udongo na kumpulizia pumzi(nafsi) na baadae ndiyo akamtoa Hawa ubavuni mwa Adam.
 
Watu wanapumbazwa na maujinga yakutunga tu yasiyo na ushahidi wakueleweka ni soga za kimchongo tu.
Huyu hapa Profesa James Kugel kaandika kitabu kizima kinachoelezea haya mambo.

How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT

Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea.

Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
umejuaje hawakuwah kuwepo ?
Soma wanazuoni wa dini hususan Uyahudi.

How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea.

Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Soma wanazuoni wa dini hususan Uyahudi.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
mkuu nan kakuambia kujua uwepo wa Mungu lazima kutegemea dini fulani au kanuni flan za kitamaduni? , samahn kwa lugha ngumu
 
mkuu nan kakuambia kujua uwepo wa Mungu lazima kutegemea dini fulani au kanuni flan za kitamaduni? , samahn kwa lugha ngumu
Kwani wapi nimesema kujua uwepo wa Mungu ni lazima kutegemea dini fulani au kanuni fulani za kiutamaduni?
 
Hyo yote n kwa sababu ya maandiko matakatifu katika Biblia na vitabu vya kidini. Lakini Kuna mambo ambayo biblia haijaweka wazi vitu flani kama mada yeti inavyojiekeza hapo juu.
Hiyo Biblia umejuaje ilikuwa ya kwanza? Kabla hujamwaga hizi stori ulipaswa kwanza kutupa taarifa kivipi tuiamini hiyo Biblia yako na kuwa iko authentic. Baada ya hapo ndipo ulete stori hizi zote...!
 
Back
Top Bottom