Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Ukishakubali Mungu yupo,ndiye chanzo cha kila kitu , basi ameumba dhambi kwa kusudi lake .
 
Mungu umsemae hapo anasifa za uovu na wema,hebu fikiri kwanini alimfanya farao kuwa mkaidi halafu akamuangamiza..? kama sivyo basi Mungu huyo atakuwa si muweza wa kila kitu!,kuna vitu ameshindwa kuviangamiza!,maana kama shetani anasababisha dhambi kwa wanadamu hlf anamuangalia kama pambo chumbani basi hata yeye anahatia na wadhambi hao! wengine humsema Mungu ndo mpangaji wa yote!,hivyo kauli hii humaanisha kuna watu amewapangia waende motoni na wengine peponi! anasifa ya ubaguzi wa hali ya juu..
hoja thabiti kabisa hizi...nashangaa napoona kwamba tunaishi kwenye jamii inayoshindwa kuhoji maswali ya msingi kama haya
 
MPUMBAVU AMESEMA MOYONI MWAKE HAKUNA MUNGU

MDHALIMU KWA KIBURI CHA USO WAKE ASEMA HATAPATILIZA. JUMLA YA MAWAZO YAKE HAKUNA MUNGU
 
Hahaaaaa!! Unaambiwa mbinguni zilichapwa kinoma mpaka jamaa likaamua kushuka duniani lenyewe,
Halafu MUNGU akamtuma Yesu kuhubiri injili akarudi tena mbinguni.

Bado linachanja mbuga tu.

Mpaka sasa naamini kuna mpango mkubwa kati ya shetani na MUNGU.
Dini ni mpango wa shetani.
Hapa napo panachanganya hivi kweli shetani ana uwezo wa kupigana na Mungu muweza wa yote
 
Halafu ujue hawa wawili wanakutana sana, tangu shetani afukuzwe huko juu.

~Walikutana kipindi Ayoub anataka kujaribiwa, wakakubaliana kuwa Ayoub ajaribiwe tu ila asiuwawe...WALIKUBALIANA.

~Walikutana tena Yesu alipokuwa akijaribiwa huko nyikani, ila Yesu akamfukuza baada ya shetani kufanya mzaha na utani.

Kumbe bwana wanakutana na kukubaliana kabisa...Dah!!
 
Ni kwamba anajichanganya ama sisi ndio tunajichanganya?

Hivi umewahi kuona samaki anajiweka nyavuni ama ndege anajiweka mtegoni? Binadamu kafanikiwa kujiweka kitanzini mwa mikono yake mwenyewe (atomic bomb, weapons of mass destruction, biological weapons of mass destruction, guns, drones....etc) halafu analalamika Mungu kasababisha maafa! How? !?

My point is ameshatupa Uhai na uamuzi juu ya maisha yetu ya sasa na baadae anakuwaje tena responsible na maovu ambayo tunayasababisha sisi wenyewe kwa kisingizio cha maendeleo ya kijamii na teknolojia? Imani yangu; Our Life - Our Choices / Our Choices - Our Life.....

Kibaya zaidi [HASHTAG]#Karma[/HASHTAG] + [HASHTAG]#Fate[/HASHTAG] are so real!
Unazungumzia drones,bombs umesahau mstari usemao "nchi na vyote vijazavyo ni mali ya Mungu"

Mkuu ni vyake hivyo
 
Ukishakubali Mungu yupo,ndiye chanzo cha kila kitu , basi ameumba dhambi kwa kusudi lake .
"Ameumba dhambi kwa kusudi lake", dhambi/uovu ndio sababu hasa tunapata shida humu duniani. Sasa Mungu aliamua kuumba dhambi ili tupate tabu kweli?
 
Kuna mtu kathibitisha Mungu yupo hapa au bado stories tupu tu?
 
Kama unaamini hakuna Mungu huna la kujibu ila kama unaamini yupo basi aliumba kila kitu na dhambi ipo ndani ya " kila kitu " hivyo Mungu aliumba dhambi" utauliza kwa nini! Ukifa utaonana nae na utamuuliza kwa nini uturushie mrejesho huku duniani
 
So he knew before, that man will one day create such terrifying weapons and supersonic objects! isn't it
Ni kwamba anajichanganya ama sisi ndio tunajichanganya?

Hivi umewahi kuona samaki anajiweka nyavuni ama ndege anajiweka mtegoni? Binadamu kafanikiwa kujiweka kitanzini mwa mikono yake mwenyewe (atomic bomb, weapons of mass destruction, biological weapons of mass destruction, guns, drones....etc) halafu analalamika Mungu kasababisha maafa! How? !?

My point is ameshatupa Uhai na uamuzi juu ya maisha yetu ya sasa na baadae anakuwaje tena responsible na maovu ambayo tunayasababisha sisi wenyewe kwa kisingizio cha maendeleo ya kijamii na teknolojia? Imani yangu; Our Life - Our Choices / Our Choices - Our Life.....

Kibaya zaidi [HASHTAG]#Karma[/HASHTAG] + [HASHTAG]#Fate[/HASHTAG] are so real!
 
Oh baby give me a break...God has heaven why cant he js cut this short and take us all there?binafsi i js wanna go to heaven

Loss of faith ni kwa sababu kwny maisha unaishi vile atakavyo Mungu na sio utakavyo wewe
Ye ndo Mungu bwn tutafanyaje ss
Am not blaming God...i js realized life rolls his way not anyones way
Wow! She can't go deep anymore, otherwise She gonna deny her premises!
 
Mkuu mimi nafikiri tungejikita kwenye sababu,,mfano kwa nini Mungu ajue kwamba huyu kiumbe Lucifer anaemuumba atakuja kuharibu kazi yake?? Ezekiel 28: ina majibu,,, kwamba Lucifer Alikuwa kaumbwa vizuri ila Alikuwa na tamaa,,,yako majibu kabisa kama ukiwa uko huru bila presha kutafuta majibu ya maswali yako.

Nimependa hapa uliposema anawajua walio wake toka kuwekwa misingi ya ulimwengu,,,mimi nikuulize kwamba wasi wasi wako ni nini kama labda hao walio wake mmoja wapo ni wewe?? Maana hakuwataja.
Ndio Unaweza ukawa na dhambi kama mimi na Baadae kumebaki dakika moja ufe ukatubu,,,nani anajua!
Kwani kama ana mamlaka, lazima atumie nguvu nyingi kutonyesha kuwa ana mamlaka?

Ni sawa na mwalimu mkuu, wanafunzi tunajua yeye ndio head teacher, lakini anatumia nguvu nyingi ili kutufanya tuamini bila yeye hakuna tena. Kama kweli ni mwalimu mkuu, kuna ulazima gani yeye kutumia nguvu nyingi.

That's what God has been doing, katumia nguvu nyingi ili tu tuamini bila yeye hakuna.

Na kwa nini tuokoke?
Kwani alivyotuumba haikutosha kufanya tumfate?

Kuna sehemu anasema, "walio wangu nawajua"... hivi kumbe kuna watu tunapoteza muda tu, Mungu anawajua watu wake. Kwanini atubague wakati yeye ndio katuumba?
 
Huwa hatujiulizi maana ya ile miti miwili kwenye bustani ya Eden,,mti wa kwanza ulikuwa mti wa uzima na wa pili MTI WA MEMA NA MABAYA..na yote kaipanda Mungu.Kwa nini unahoji maswali mengi yanayohusu masahibu yetu wakati babu yetu wa siku nyingi alikula matunda ya mti wa mema na mabaya??

Dhambi kaiumba Mungu ni kweli lakini kuna namna alitaka tuishi ili isituathiri na wewe unajua.

Mtu anaposema eti Mungu alileta kifo maana hana accommodation za kutuhifadhi ni jambo la kustaajabisha,,,labda Kuna mtu aliwahi kujiuliza hizo sayari nyingine kaumbiwa nani?? Mtu anamwongelea Mungu kwamba ni failure pasi na kutafakari kwa kina kwa nini!!

Na tusisahau kitu kimoja zamani ya Adam Mungu Alikuwa anakaa na binadamu kila jioni anakuja kumsalimia Adam,,,je tunajua alikuwa anaongea nae nini??
 
Kilichobaki tunatakiwa kuishi kwa imani tu..Kwa hakika mimi naweza Kusema Mungu ana upendo sana na anatupenda sana.

Na hata mtu ukafa ukaenda motoni au paradise hakika unastahili sana unapoenda.Maana unastahili kulingana na ulichokuwa unafanya hapa duniani.
 
Mkuu mimi nafikiri tungejikita kwenye sababu,,mfano kwa nini Mungu ajue kwamba huyu kiumbe Lucifer anaemuumba atakuja kuharibu kazi yake?? Ezekiel 28: ina majibu,,, kwamba Lucifer Alikuwa kaumbwa vizuri ila Alikuwa na tamaa,,,yako majibu kabisa kama ukiwa uko huru bila presha kutafuta majibu ya maswali yako.

Nimependa hapa uliposema anawajua walio wake toka kuwekwa misingi ya ulimwengu,,,mimi nikuulize kwamba wasi wasi wako ni nini kama labda hao walio wake mmoja wapo ni wewe?? Maana hakuwataja.
Ndio Unaweza ukawa na dhambi kama mimi na Baadae kumebaki dakika moja ufe ukatubu,,,nani anajua!

Utasemaje kuwa Lucifer alikuwa kaumbwa vizuri halafu tena awe na tamaa? Kitendo cha lucifer kuwa na tamaa inadhihirisha ya kwanba Lucifer aliumbwa akiwa na Mapungufu. Je kwanini uwezo wa Mungu umeshindwaje kujua hayo mapungufu na kisha kumfanya awe mkamilifu ili asije hasi?

Na swala la pili ni kwamba kitendo cha Mungu kusema kuwa "anajua walio wake toka kuwekwa misingi ya ulimwengu" ina maanisha kuwa wakati Mungu anamuumba mtu anajua fika ya kwamba huyu mtu X ataenda motoni na huyu mtu Y ataenda peponi. Huyu mtu X hata afanye jitihada kiasi gani hawezi kuwa mtu mwema kwasababu alishaumbwa kuwa sio mwema. Na hutu mtu Y hata hata apate vishawishi kiasi gani hawezi kuwa muovu kwasababu alishaumbwa kuwa mwema. Mtu muovu kubadilika kuwa mwema sio kwa jitihada zake bali ndivyo alivyopangawia awe alkadhalika kwa mtu mwema kuwa mtu muovu ndivyo alivyopangiwa awe hivyo.
 
Back
Top Bottom