Gideone
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 522
- 711
Ahaa kama ni ivo basi mungu hajapanga wala hajui nini kitatokea kesho si ndio.mkuu? Ukisema Atomic ivi.unajua kuwa hata Dawa ni sumu? Sitaki kuamini kama hujui kuwa kitu chochote kikitumika vibaya kina leta madhara, dawa za kulevya zinatumiwa na doctors wakati wa operations je tuache kuzifanyia research kwa vile zinaleta mateja?Ni kwamba anajichanganya ama sisi ndio tunajichanganya?
Hivi umewahi kuona samaki anajiweka nyavuni ama ndege anajiweka mtegoni? Binadamu kafanikiwa kujiweka kitanzini mwa mikono yake mwenyewe (atomic bomb, weapons of mass destruction, biological weapons of mass destruction, guns, drones....etc) halafu analalamika Mungu kasababisha maafa! How? !?
My point is ameshatupa Uhai na uamuzi juu ya maisha yetu ya sasa na baadae anakuwaje tena responsible na maovu ambayo tunayasababisha sisi wenyewe kwa kisingizio cha maendeleo ya kijamii na teknolojia? Imani yangu; Our Life - Our Choices / Our Choices - Our Life.....
Kibaya zaidi [HASHTAG]#Karma[/HASHTAG] + [HASHTAG]#Fate[/HASHTAG] are so real!
Nani aliyetengeneza hicho kitanzi anachojiweka mwanadamu? Je ni mungu au kama ndie je bado ana upendo nasi ile hali katuwekea mtego afu later atupe adhabu
