ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,652
- 90,101
Yani kifupi ni kuwa huyo aitwaye shetani ameshinda, Mungu anawachukuwa watu kuwakimbiza mbinguni coz tayari shetani amejimilikisha dunia, dunia iliyoumbwa na Mungu.Kwa namna hiyo mkuu hizi dini tunapoteza mda tu hakuna logic ukiwaza sababu za watu kuokoka na kwenda mbinguni!
Yaani MUNGU awapeleke wanadamu mbinguni baada ya shetani kuitwaa dunia kwa uwezo wake.