Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Jamani! Naona kama ulimwengu wote unaongozwa na shetani kwani kila penye mafanikio ya ajabu shetani yupo!! Mtu atakueleza ni maombi tu mpaka nikafanikiwa kumbe ni mshirika wa ulimwengu wa roho. Basi kama mafanikio anatoa Mungu ana upendeleo hivyo sio Mungu wa kweli. Ukitaka kutoboa chungulia ulimwengu wa roho
 
Dhambi Na thawabu ni vipimo Vya ajabu duniani sijawahi kuona vipimo vilivyokuwa havina si unit Kama hivi vipimo vyote duniani vina si unit inakuwa raisi kujua kitendo cha Dhambi kukosa si unit inaonyesha wazi mungu hayupo Ndio hatujui ukiua Unapata Dhambi ngapi Au ukiiba Unapata Dhambi ngapi au. Ukitukana unapata Dhambi ngapi mawazo ya dhambi ni dhana ya mtu kutaka kupima makosa anayofanya mtu kulinganisha Na hukumu atakayetoa mungu kiuhalisia Dhambi si kipimo Na Kwakuwa si kipimo Basi huyo mungu hayupo
 
Wow!!
Screenshot_2017-04-29-17-33-20.jpg
 
Nadharia Mungu hata walio ileta wana fail kuielezea effectively wanabaki kutisha watu tu, Mimi nasema kama kweli kuna dhambi au kufanya ubaya ni dhambi but God himself is not omnipotent ,omnipresent,omniscience mana ni kama Mungu anampinzani ambaye ndio ana tu drive tufanye evil things au violence kwa mantiki hio ukuu wa nguvu tunaompa mungu ile hali ana mpinzani basi tunakosea Mungu sio muweza wa yote ndio mana atachoma moto walioenda aganist na yeye
 
Mungu umsemae hapo anasifa za uovu na wema,hebu fikiri kwanini alimfanya farao kuwa mkaidi halafu akamuangamiza..? kama sivyo basi Mungu huyo atakuwa si muweza wa kila kitu!,kuna vitu ameshindwa kuviangamiza!,maana kama shetani anasababisha dhambi kwa wanadamu hlf anamuangalia kama pambo chumbani basi hata yeye anahatia na wadhambi hao! wengine humsema Mungu ndo mpangaji wa yote!,hivyo kauli hii humaanisha kuna watu amewapangia waende motoni na wengine peponi! anasifa ya ubaguzi wa hali ya juu..
Watakuja kusema sijui kuna freewill wanasahau kuwa mjuzi wa yote, Mpangaji wa yote tayari amepanga na kujua nini utafanya yani Mungu kwa sifa za upangaji na Ujuaji wa yote basi alipanga na kujua kuwa Kiranga hatamuamini na atamchoma moto
 
Kila jambo hutokea kwa makusudi, sio kwamba haoni anaona sana tuu. Ni ili tujue kwamba yeye ndo mwenye mamlaka na tuweze kuamini na kuokoka!!
Ukiona baba ndani ya nyumba anakomalia watoto wamuite baba basi ni fika kuna tatizo mahala, Baba ni kutekeleza majukumu ya familia na automatically watoto Hukuheshimu na kukuita baba na kuwa proudly na Wewe
 
Nimefungua huu uzi mida hii nimesoma comments zote, one at a time.....haki Nimeogopa watu mnavyomkana Mungu!! Muumba wa Ardhi na Mbingu mbele yenu amekua si lolote si chochote?! Hatari sana dunia inaenda kasi ya ajabu!!

***Sorry sina maana ya kuwakwaza ila nimeshangaa sana, hadi usingizi umekata! !!!
Watu hawamkani ni yeye anajichanganya mpaka hatumuelewi
 
Mi ndo maana my focus as i grow older imejikita kwny kumtegemea Mungu kuliko dini
Kutenda mema zaidi, kusaidia wengine na kuishi vizuri na watu
Kwani dini inafundisha kinyume na hayo?
 
Nilichogundua humu Mungu anaelezwa kwa mafundisho ya kikristo na wakristo imani yao imebebwa na imani ya uwepo wa Mungu,na ndiyo maana wengi tunaona wakisema dini haina mchango wowote na ni mpango tu wa binaadamu.
 
Nilichogundua humu Mungu anaelezwa kwa mafundisho ya kikristo na wakristo imani yao imebebwa na imani ya uwepo wa Mungu,na ndiyo maana wengi tunaona wakisema dini haina mchango wowote na ni mpango tu wa binaadamu.
Dini zote ni mifumo ya maisha ya jamii fulani, Uharaka wao wa Kufanya maendeleo na kuwaweka superior ndio ulipelekea Mifumo yao ya maisha (dini) kutapakaa dunia nzima wapo wajanja pia kama wamisionari waliona fursa ya dini na kuamua kuitumia kuja Nayo mataifa mbalimbali na kuwapa imani hizo kwa mgongo wa kuwahadaa ili iwe rahsi kuwa colonize, Wewe unadhani babu zetu wangekuwa superior kiuchumi, kijamii wange copy takataka za Uislamu na Ukiristo wa wazungu?? Yani kisa Uarabuni hakuna miti ni jangwa na mbao hakuna na nyie afrika mliokuwa na mistu ya kutosha mnaliridhi Uzikaji bila kuweka mtu kwenye Frame za mbao(Jeneza), Leo unaambiwa atakae ibariki Israel nae atabarikiwa atakaye ilani nae ataalaaniwa kweli tunashindwa kureason vitu simple kama ivi nashangaa mno kuona Machinga wanatembea na Bendera za israel, yani Unaona hawa hawa wanaombea watu ni wameona fursa ya dini ndio mana wamejazana mijini kwenye pesa
 
Nimekumbuka yule dogo aliyewashitaki wazazi wake kwa kumzaa mzungu badala ya mweusi


Hivi siku ya kiama haiwezekan kukata rufaa ukihukumiwa kwenda jehanam!?

Kwanza wewe hukuomba uumbwe ila yeye ndio alikuumba kwa malengo yake sasa kosa lako ni nini hadi upelekwe jehanam?
Daaah hiii noma ngoja nikapige degree ya law wakinipeleka motoni tu wote wataishia jela
 
Watu hawamkani ni yeye anajichanganya mpaka hatumuelewi


Ni kwamba anajichanganya ama sisi ndio tunajichanganya?

Hivi umewahi kuona samaki anajiweka nyavuni ama ndege anajiweka mtegoni? Binadamu kafanikiwa kujiweka kitanzini mwa mikono yake mwenyewe (atomic bomb, weapons of mass destruction, biological weapons of mass destruction, guns, drones....etc) halafu analalamika Mungu kasababisha maafa! How? !?

My point is ameshatupa Uhai na uamuzi juu ya maisha yetu ya sasa na baadae anakuwaje tena responsible na maovu ambayo tunayasababisha sisi wenyewe kwa kisingizio cha maendeleo ya kijamii na teknolojia? Imani yangu; Our Life - Our Choices / Our Choices - Our Life.....

Kibaya zaidi [HASHTAG]#Karma[/HASHTAG] + [HASHTAG]#Fate[/HASHTAG] are so real!
 
Back
Top Bottom