Freewine
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 257
- 211
Kwa hiyo wewe ni rahis kuamini kwamba shetan ana nguvu kuliko kuamini uwepo wa Mungu? Jaribu kukimbizana na upepoYani kifupi ni kuwa huyo aitwaye shetani ameshinda, Mungu anawachukuwa watu kuwakimbiza mbinguni coz tayari shetani amejimilikisha dunia, dunia iliyoumbwa na Mungu.