nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Kwasababu wengi wamelelewa na kukulia kwenye ukristoUmekusanya dini zote kwenye kapu moja ila hoja zako umejenga kwenye msingi wa mafundisho ya biblia pekee.
Hili jambo linafanywa sana humu sijui ni kwanini?